Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 146
  • “Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Ni Mufalme Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ninajitoa kwa Mungu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ahadi ya Uzima wa Milele
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 146

WIMBO 146

“Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya”

Maandishi

(Ufunuo 21:1-5)

  1. 1. Mambo mingi inaonyesha kama

    Sasa Yesu Kristo ni Mufalme.

    Mbinguni sasa kuko furaha,

    Kesho itakuwa ku dunia.

    (REFREE)

    Tutafurahi kabisa

    Kuwa pamoja na Mungu.

    Atatosha maumivu yote,

    Na kifo hakitakuwa tena.

    Ni yeye njo atafanya vitu

    Vyote vikuwe vipya.

  2. 2. Yerusalemu Mupya inakuya,

    Na bibi-harusi anakuya;

    Alishapambwa na kupendeza,

    Yehova anamupa mwangaza.

    (REFREE)

    Tutafurahi kabisa

    Kuwa pamoja na Mungu.

    Atatosha maumivu yote,

    Na kifo hakitakuwa tena.

    Ni yeye njo atafanya vitu

    Vyote vikuwe vipya.

  3. 3. Ule muji utapendeza sana,

    Milango yake haitafungwa.

    Leo Mashahidi wa Yehova

    Wanautangaza fasi yote.

    (REFREE)

    Tutafurahi kabisa

    Kuwa pamoja na Mungu.

    Atatosha maumivu yote,

    Na kifo hakitakuwa tena.

    Ni yeye njo atafanya vitu

    Vyote vikuwe vipya.

(Ona pia Mt. 16:3; Ufu. 12:7-9; 21:23-25.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine