Siku ya Tano
“Mufurahi sikuzote katika Bwana. Nitasema tena, Mufurahi!”—Wafilipi 4:4
ASUBUI
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 111 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YA MWENYEKITI: Sababu Gani Yehova Ni “Mungu Mwenye Furaha?” (1 Timoteo 1:11)
4:15 (10:15) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: Ni Nini Inaweza Kutuletea Furaha?
• Maisha Mepesi (Muhubiri 5:12)
• Zamiri Safi (Zaburi 19:8)
• Kazi ya Muzuri (Muhubiri 4:6; 1 Wakorinto 15:58)
• Marafiki wa Kweli (Mezali 18:24; 19:4, 6, 7)
5:05 (11:05) Wimbo Na. 89 na Matangazo
5:15 (11:15) USOMAJI WA BIBLIA WENYE KUCHEZWA: “Yehova Aliwafanya Wafurahi” (Ezra 1:1–6:22; Hagai 1:2-11; 2:3-9; Zekaria 1:12-16; 2:7-9; 3:1, 2; 4:6, 7)
5:45 (11:45) Shangilia Katika Matendo ya Yehova ya Wokovu (Zaburi 9:14; 34:19; 67:1, 2; Isaya 12:2)
6:15 (12:15) Wimbo Na. 148 na Mapumuziko
KISHA MIDI
7:30 (13:30) Video ya Muziki
7:40 (13:40) Wimbo Na. 131
7:45 (13:45) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: Fanya Familia Yako Ikuwe na Furaha
• Bwana, Ufurahi Pamoja na Bibi Yako (Mezali 5:18, 19; 1 Petro 3:7)
• Bibi, Ufurahi Pamoja na Bwana Yako (Mezali 14:1)
• Wazazi, Mufurahi Pamoja na Watoto Wenu (Mezali 23:24, 25)
• Vijana, Mufurahi Pamoja na Wazazi Wenu (Mezali 23:22)
8:50 (14:50) Wimbo Na. 135 na Matangazo
9:00 (15:00) HOTUBA YENYE SEHEMU SITA: Uumbaji Unaonyesha Wazi Kuwa Yehova Anapenda Tukuwe Wenye Furaha
• Maua Yenye Kupendeza (Zaburi 111:2; Matayo 6:28-30)
• Chakula Kitamu (Muhubiri 3:12, 13; Matayo 4:4)
• Rangi Zenye Kupendeza (Zaburi 94:9)
• Mwili Wetu Wenye Umefanywa kwa Njia ya Ajabu (Matendo 17:28; Waefeso 4:16)
• Sauti Zenye Kupendeza (Mezali 20:12; Isaya 30:21)
• Wanyama Wenye Kuvutia (Mwanzo 1:26)
10:00 (16:00) Juu ya Nini “Wale Wenye Wanaendeleza Amani Wako na Furaha”? (Mezali 12:20; Yakobo 3:13-18; 1 Petro 3:10, 11)
10:20 (16:20) Urafiki wa Sana Pamoja na Yehova Unaleta Furaha Kubwa Zaidi! (Zaburi 25:14; Habakuki 3:17, 18)
10:55 (16:55) Wimbo Na. 28 na Sala ya Mwisho