Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm20 uku. 2-3
  • Siku ya Tano

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Siku ya Tano
  • Programu ya Mukusanyiko wa 2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ufurahishe Moyo wa Yehova!
    Programu ya Mukusanyiko wa Muzunguko wa 2020-2021—Pamoja na Mwangalizi wa Muzunguko
  • “Mushangilie Katika Yehova”
    Programu ya Mukusanyiko wa Muzunguko wa 2020-2021—Pamoja na Mujumbe wa Tawi
  • Siku ya Posho
    Programu ya Mukusanyiko wa 2017
  • Siku ya Tano
    2019 Endelea Kuwa Mushikamanifu kwa Yehova!
Ona Habari Zaidi
Programu ya Mukusanyiko wa 2020
CO-pgm20 uku. 2-3
Picha: 1. Nabii Malaki. 2. Ua. 3. Mashahidi wa Yehova wawili wa inchi na desturi tofauti wanahubiri pamoja. Wanaonyesha sura ya kicheko na wanapatiana mikono. 4. Bibi na bwana wenye kuzeeka wanashikana mikono na kuonyeshana sura ya kicheko.

Siku ya Tano

“Mufurahi sikuzote katika Bwana. Nitasema tena, Mufurahi!”​—Wafilipi 4:4

ASUBUI

  • 3:20 (9:20) Video ya Muziki

  • 3:30 (9:30) Wimbo Na. 111 na Sala

  • 3:40 (9:40) HOTUBA YA MWENYEKITI: Sababu Gani Yehova Ni “Mungu Mwenye Furaha?” (1 Timoteo 1:11)

  • 4:15 (10:15) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: Ni Nini Inaweza Kutuletea Furaha?

    • • Maisha Mepesi (Muhubiri 5:12)

    • • Zamiri Safi (Zaburi 19:8)

    • • Kazi ya Muzuri (Muhubiri 4:6; 1 Wakorinto 15:58)

    • • Marafiki wa Kweli (Mezali 18:24; 19:4, 6, 7)

  • 5:05 (11:05) Wimbo Na. 89 na Matangazo

  • 5:15 (11:15) USOMAJI WA BIBLIA WENYE KUCHEZWA: “Yehova Aliwafanya Wafurahi” (Ezra 1:1–6:22; Hagai 1:2-11; 2:3-9; Zekaria 1:12-16; 2:7-9; 3:1, 2; 4:6, 7)

  • 5:45 (11:45) Shangilia Katika Matendo ya Yehova ya Wokovu (Zaburi 9:14; 34:19; 67:1, 2; Isaya 12:2)

  • 6:15 (12:15) Wimbo Na. 148 na Mapumuziko

KISHA MIDI

  • 7:30 (13:30) Video ya Muziki

  • 7:40 (13:40) Wimbo Na. 131

  • 7:45 (13:45) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: Fanya Familia Yako Ikuwe na Furaha

    • • Bwana, Ufurahi Pamoja na Bibi Yako (Mezali 5:18, 19; 1 Petro 3:7)

    • • Bibi, Ufurahi Pamoja na Bwana Yako (Mezali 14:1)

    • • Wazazi, Mufurahi Pamoja na Watoto Wenu (Mezali 23:24, 25)

    • • Vijana, Mufurahi Pamoja na Wazazi Wenu (Mezali 23:22)

  • 8:50 (14:50) Wimbo Na. 135 na Matangazo

  • 9:00 (15:00) HOTUBA YENYE SEHEMU SITA: Uumbaji Unaonyesha Wazi Kuwa Yehova Anapenda Tukuwe Wenye Furaha

    • • Maua Yenye Kupendeza (Zaburi 111:2; Matayo 6:28-30)

    • • Chakula Kitamu (Muhubiri 3:12, 13; Matayo 4:4)

    • • Rangi Zenye Kupendeza (Zaburi 94:9)

    • • Mwili Wetu Wenye Umefanywa kwa Njia ya Ajabu (Matendo 17:28; Waefeso 4:16)

    • • Sauti Zenye Kupendeza (Mezali 20:12; Isaya 30:21)

    • • Wanyama Wenye Kuvutia (Mwanzo 1:26)

  • 10:00 (16:00) Juu ya Nini “Wale Wenye Wanaendeleza Amani Wako na Furaha”? (Mezali 12:20; Yakobo 3:13-18; 1 Petro 3:10, 11)

  • 10:20 (16:20) Urafiki wa Sana Pamoja na Yehova Unaleta Furaha Kubwa Zaidi! (Zaburi 25:14; Habakuki 3:17, 18)

  • 10:55 (16:55) Wimbo Na. 28 na Sala ya Mwisho

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine