Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • lmd somo 3
  • Fazili

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Fazili
  • Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mambo Yenye Yesu Alifanya
  • Mufano wa Yesu Unatufundisha Nini?
  • Umuige Yesu
  • Kupendezwa na Watu
    Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Acha “Sheria ya Fazili” Ikuongoze
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Fazili—Sifa Yenye Kuonyeshwa Kupitia Maneno na Matendo
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Kujitia pa Nafasi ya Mutu
    Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
Ona Habari Zaidi
Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
lmd somo 3

KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Kwa upendo Yesu anakaribia mwanaume kipofu juu.

Yoh. 9:1-7

SOMO YA 3

Fazili

Kanuni: “Upendo ni . . . wenye fazili.”​—1 Ko. 13:4.

Mambo Yenye Yesu Alifanya

Kwa upendo Yesu anakaribia mwanaume kipofu juu amuponyeshe.

VIDEO: Yesu Anaponyesha Mwanaume Kipofu

1. Angalia VIDEO, ao usome Yohana 9:1-7. Kisha ufikirie maulizo yenye kufuata:

  1. Nini njo Yesu alifanya kwanza; kuponyesha ule mwanaume kipofu ao kumuhubiria habari njema?​—Ona Yohana 9:35-38.

  2. Unawaza ile ilifanya ule mutu afurahie kusikiliza habari njema?

Mufano wa Yesu Unatufundisha Nini?

2. Mutu anaweza kufurahia kusikiliza ujumbe wetu kama anaona kuwa tunamuhangaikia.

Umuige Yesu

3. Ujitie pa nafasi ya mutu. Pima kufikiria namna iko najisikia.

  1. Ujiulize hivi: Pengine nini njo iko nahangaisha huyu mutu? Pengine nini njo inaweza kumusaidia na kumufurahisha? Kujiuliza ile maulizo kunaweza kukusaidia umuonyeshe fazili kutoka ku moyo na bila kulazimishwa.

  2. Onyesha kama unahangaikia mambo yenye ule mutu anaona kuwa ya maana kwa kumusikiliza. Kama anakuambia namna iko najisikia ao mambo yenye iko namuhangaisha, usimukatize.

4. Zungumuza kwa fazili na kwa heshima. Namna unaongea na mutu inaweza kuonyesha kama unamuhangaikia na kama unataka kumusaidia. Chagua muzuri maneno yenye utasema na namna utaisema, na uepuke kusema maneno yenye itamufanya ajisikie mubaya.

5. Ukuwe tayari kusaidia. Tafuta nafasi za kusaidia mutu kwa kumupatia kitu fulani ao kumufanyia jambo fulani. Matendo ya fazili inaweza kukufungulia njia ya kuanzisha mazungumzo.

ONA PIA

Ro. 12:15, 16; Gal. 6: 10; Ebr. 13:16

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine