Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • lmd somo 9
  • Kujitia pa Nafasi ya Mutu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kujitia pa Nafasi ya Mutu
  • Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mambo Yenye Yesu Alifanya
  • Mufano wa Yesu Unatufundisha Nini?
  • Umuige Yesu
  • Jitie pa Nafasi ya Wengine
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Ujitie pa Nafasi ya Wengine
    Amuka!—2020
  • Fazili
    Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Mungu Iko na Huruma?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
Ona Habari Zaidi
Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
lmd somo 9

KUENDELESHA MAZUNGUMUZO

Yesu na wanafunzi wake wanatoka mu mashua na wako naenda kwenye watu wengi wako nawangoya pembeni ya bahari.

Mk. 6:30-34

SOMO YA 9

Kujitia pa Nafasi ya Mutu

Kanuni: “Mufurahi pamoja na wale wenye kufurahi; mulie pamoja na wale wenye kulia.”​—Ro. 12:15.

Mambo Yenye Yesu Alifanya

Yesu na wanafunzi wake wanatoka mu mashua na wako naenda kwenye watu wengi wako nawangoya pembeni ya bahari.

VIDEO: Yesu Anasikilia Watu Wengi Huruma

1. Angalia VIDEO, ao usome Marko 6:30-34. Kisha ufikirie maulizo yenye kufuata:

  1. Juu ya nini Yesu na wanafunzi wake walipenda ‘kuwa peke yao’?

  2. Nini njo ilifanya Yesu afundishe wale watu wengi sana?

Mufano wa Yesu Unatufundisha Nini?

2. Kujitia pa nafasi ya wengine kunafanya tuwahangaikie kuliko tu kuhangaikia ujumbe wetu.

Umuige Yesu

3. Sikiliza kwa uangalifu. Umuache musikilizaji aseme mambo yenye iko namuhangaisha. Usimukatize wakati iko nasema, na usizarau mambo yenye inamuhangaisha, ao mambo yenye anasema yenye haipatane na yetu. Kama unamusikiliza kwa uangalifu, utaonyesha kama unaheshimia mawazo yake.

4. Ukuwe nawaza juu ya mutu mwenye alipendezwa. Fikiria juu ya mambo yenye ulizungumuza naye, na ujiulize hivi:

  1. ‘Juu ya nini huyu mutu iko na lazima ya kusikia kweli?’

  2. ‘Namna gani kujifunza Biblia kunaweza kufanya maisha yake ikuwe muzuri leo na wakati yenye kuya?’

5. Muzungumuzie mambo yenye inaweza kumusaidia. Bila kukawia, umuonyeshe namna funzo ya Biblia inaweza kumusaidia apate majibu ya maulizo yenye anajiulizaka na namna inaweza kumusaidia mu mambo ingine.

ONA PIA

Ro. 10:13, 14; Flp. 2:3, 4; 1 Pe. 3:8

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine