Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w14 1/4 uku. 16
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 1/4 uku. 16
Mukono wa Yesu ukiwa na nguo, ni kama vile anasafisha dunia

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Yesu atafanya nini wakati unaokuja?

Katika mwaka wa 33 kisha kuzaliwa kwa Yesu, Yesu alikufa, akafufuliwa, na akapanda mbinguni. Miaka mingi kisha hapo, Yesu alipewa mamlaka ya kutawala akiwa Mufalme. (Danieli 7:13, 14) Wakati unaokuja, Yesu akiwa Mufalme atachukua hatua ya kuleta amani ulimwenguni na kumaliza umaskini.​—Soma Zaburi 72:7, 8, 13.

Yesu akiwa Mufalme, ataondoa ukosefu wa haki duniani

Yesu atafanya mambo mazuri sana wakati atatawala wanadamu. Atatumia uwezo ambao Baba yake amemupatia ili kufanya wanadamu wawe wakamilifu tena. Watafurahia maisha duniani bila kuzeeka wala kufa.​—Soma Yohana 5:26-29; 1 Wakorintho 15:25, 26.

Yesu anafanya nini leo?

Leo, Yesu anaongoza kazi ya wafuasi wake wa kweli ya kuhubiri katika dunia yote. Wafuasi wa kweli wa Yesu wanatembelea watu ili kuwaonyesha mambo yenye Biblia inasema juu ya Ufalme wa Mungu. Yesu alisema kwamba ataendelea kutegemeza kazi ya wanafunzi wake mupaka wakati Ufalme wa Mungu utaharibu serikali za wanadamu.​—Soma Mathayo 24:14; 28:19, 20.

Kupitia kutaniko la Wakristo wa kweli, Yesu anaongoza watu kwenye maisha mazuri. Ataendelea kuwasimamia, kuwaongoza, na kuwasaidia wafuasi wake wakiwa kikundi waokoke uharibifu wa ulimwengu huu muovu na kuingia katika dunia mupya yenye Mungu aliahidi.​—Soma 2 Petro 3:7, 13; Ufunuo 7:17.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 8 ya kitabu hiki, Biblia Inafundisha Kabisa Nini?, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza pia kupata kitabu hiki kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine