Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w15 1/8 uku. 16
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu Anapenda Tukuwe na Maisha ya Namna Gani?
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Uzima Ulianza Namna Gani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Ulizo la 1: Je, Maisha Yangu Yana Kusudi?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 1/8 uku. 16

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Kusudi la maisha ni nini?

Mwanaume mwenye kuzeeka na mutoto wanaangalia mbali

wakati fulani unaona kuwa maisha ni mafupi sana?

Umekwisha kujiuliza ikiwa kusudi tu la maisha ni kucheza, kufanya kazi, kuoa, kuwa na familia, na kuzeeka? (Ayubu 14:1, 2) Biblia inaonyesha kama hata watu wenye hekima wamejiuliza juu ya jambo hilo.—Soma Mhubiri 2:11.

Maisha iko na maana fulani? Kwanza, tunapaswa kujiuliza, Maisha yalianza namna gani? Kisha kuchunguza namna ubongo wetu na sehemu zingine za mwili wetu zimeumbwa, watu wengi wamefikia kusema kuwa tuliumbwa na Muumbaji mwenye hekima. (Soma Zaburi 139:14.) Kama ni hivyo, Muumbaji huyo alituumba kwa sababu fulani! Kujua sababu hiyo kunaweza kufanya maisha yetu yakuwe na maana zaidi.

Sababu gani watu waliumbwa?

Mungu alibariki mwanaume na mwanamuke wa kwanza na akawapatia kazi yenye kufurahisha. Kusudi lake lilikuwa kwamba wajaze dunia, waifanye kuwa paradiso, na waishi milele.—Soma Mwanzo 1:28, 31.

Kusudi la Mungu halikutimia kwa sababu watu walipinga utawala wake. Lakini Mungu hakutuachilia, na hakubadilisha kusudi lake juu yetu na juu ya dunia. Biblia inatuhakikishia kama Mungu amefanya mipango ili kuokoa watu waaminifu na kama kusudi lake juu ya dunia litatimia! Kwa hiyo, Mungu anapenda ukuwe na maisha yenye alikusudia! (Soma Zaburi 37:29.) Ujifunze kupitia Biblia namna unaweza kupata faida kutokana na kusudi hilo la Mungu.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 3 ya kitabu hiki, chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza pia kupata kitabu hiki kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine