Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 8/14 uku. 4
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2014
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna ya Kuanzisha Mafunzo ya Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi wa 9
  • Utoaji Mbalimbali
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Utoaji Mbalimbali
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Kupambana na Hali ya Kuchoka Mwili na Akili
    Amuka!—2014
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2014
km 8/14 uku. 4

Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mafunzo ya Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi wa 9

“Watu wengi wanaamini kwamba kuna Malaika. Wewe pia unaamini hivyo? [Acha mutu ajibu.] Malaika wana nguvu sana kwa sababu wao ni viumbe wa roho, lakini, unawaza wanaweza kutusaidia? Biblia inatuelezea namna Malaika wanasaidia wanadamu leo.” Umuonyeshe ukurasa wa mwisho wa Munara wa Mulinzi wa tarehe 1 Mwezi wa 9, muzungumuzie habari ya chini ya ulizo la kwanza na musome hata andiko moja. Umutolee magazeti, na upange kumurudilia ili muzungumuzie ulizo linalofuata.

MUNARA WA MULINZI 01/09

“Unafikiri wanadamu wanaharibu sana dunia hivi kwamba haiwezi tena kutengenezwa? [Acha mutu ajibu.] Mwanadamu hana uwezo wa kutengeneza mambo ambayo ameharibisha, lakini, Biblia inatuambia kwamba Mungu iko na uwezo huo na anatamani kufanya hivyo. Andiko la Zaburi 65:9 linatuhakikishia jambo hilo. [Soma.] Gazeti hili la Munara wa Mulinzi linafasiria namna Yehova atatengeneza dunia na namna tunaweza kufurahia baraka hizo za wakati ujao. Unapenda nikuachie gazeti hili ulisome?”

Amuka! Mwezi wa 9

“Watu wengi wanaona kwamba wanalazimika kutumika sana na wanawaza kwamba hakuna namna ya kuepuka jambo hilo. Waganga wanasema kwamba kutumika kupita kiasi kunaweza kuchokesha sana mwili na akili, na jambo hilo linaweza kuwa na matokeo mabaya juu ya afya ya mutu. Unafikiri ni jambo gani linaweza kusaidia mutu akuwe na kiasi katika maisha? [Acha mutu ajibu.] Ona andiko ambalo linaweza kutusaidia. [Soma Mhubiri 4:6.] Gazeti hili linaeleza njia ine ambazo zinaweza kutusaidia kufuatilia mambo ya lazima na kupambana na muchoko mwingi wa kazi.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine