Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 9/14 uku. 4
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2014
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna ya Kuanzisha Mafunzo ya Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi wa 10
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2013
  • Utoaji Mbalimbali
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2014
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2014
km 9/14 uku. 4

Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mafunzo ya Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi wa 10

“Tunawatembelea watu ili kuzungumuza nao kwa dakika chache kuhusu Guvernema nzuri. Unawaza kwamba kuna guvernema ambayo inaweza kumaliza matatizo makubwa kama vile kutendea watu kwa ukali ao kuwaua na ukosefu wa haki?” Acha mutu ajibu. Mukumbushe musikilizaji kwamba katika Sala ya Baba yetu, Yesu aliwafundisha wafuasi wake wasali ili guvernema hiyo, ni kusema Ufalme wa Mungu, ukuje. Muonyeshe ukurasa wa mwishowa Munara wa Mulinzi wa tarehe 1 Mwezi wa 10, na muzungumuzie habari iliyo chini ya ulizo la kwanza na hata andiko moja. Umutolee magazeti, na upange kumurudilia ili muzungumuzie ulizo linalofuata.

Munara wa Mulinzi 01/10

“Tunazungumuza na watu kwa dakika chache kuhusu maneno haya ya sala inayojulikana sana ambayo Yesu aliwafundisha wanafunzi wake. [Soma Matayo 6:9, 10.] Unajua Ufalme wa Mungu ni nini, na sababu gani Yesu alizungumuzia sana Ufalme huo katika mafundisho yake? [Acha mutu ajibu.] Gazeti hili linaonyesha mambo ambayo Biblia inasema kuhusu Ufalme wa Mungu na pia kuhusu baraka nyingi nzuri ambazo Ufalme huo utaleta katika dunia.”

Amuka! Mwezi wa 10

“Tunawatembelea watu kwa dakika chache tu ili kuwasaidia wapate jibu la ulizo hili. [Onyesha ukurasa wa kwanza wa gazeti] Unafikiri kwamba ili mutu afanikiwe kabisa katika maisha ni lazima tu akuwe tajiri? [Acha mutu ajibu.] Ona mambo ambayo Biblia inasema juu ya vitu vya kimwili. [Soma Luka 12:15.] Kulingana na Biblia, kila mutu anaweza kupata mafanikio ya kweli. Gazeti hili linaeleza namna gani hilo linawezekana.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine