Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 9/13 uku. 4
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2013
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2014
  • Utoaji Mbalimbali
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2014
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2012
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2013
km 9/13 uku. 4

Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mafunzo ya Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi wa 10

“Tunawatembelea majirani wetu kwa muda mufupi. Kati ya wale ambao tumezungumuza nao, wengi wanasema kwamba hali ngumu zaidi ambayo wamepambana nayo maishani ni kifo cha mutu ambaye walimupenda. Wewe pia unaweza kusema hivyo? [Acha mutu ajibu.] Kuna habari yenye kutia moyo ambayo nilipenda kukuonyeshe.” Umuonyeshe ukurasa wa mwisho wa Munara wa Mulinzi wa tarehe 1 Mwezi wa 10, na muzungumuzie habari iliyo chini ya ulizo la kwanza na hata andiko moja. Umutolee magazeti, na upange kumurudilia ili kuzungumuzia ulizo linalofuata.

Munara wa Mulinzi 01/10/13

“Tunawatembelea watu kwa muda mufupi ili kuwatia moyo wasome Biblia. Tunajua kwamba watu fulani wanapendezwa na Biblia; lakini wengine hawapendezwe nayo. Wewe pia unapendezwa na Biblia ao hapana? [Acha mutu ajibu.] Biblia inasema jambo hili la maana. [Soma 1 Wathesalonike 2:13.] Niko hakika utakubaliana nami kwamba ikiwa Biblia ni kitabu cha Mungu, basi ni lazima tuisome. Gazeti hili linazungumuzia kwa kifupi habari zilizo katika Biblia na sababu gani tunapaswa kupendezwa nayo.”

Amuka! Mwezi wa 10

“Ningetaka kujua maoni yako juu ya ulizo hili: Je, mutu anaweza kutosheka maishani hata ikiwa hana vitu vingi vya kimwili? [Acha mutu ajibu.] Ona yale ambayo Biblia inasema. [Soma 1 Timotheo 6:8.] Gazeti hili linaonyesha namna tunavyoweza kuwa na maoni yenye kusawazika juu ya vitu vya kimwili na linazungumuzia mambo matatu ya lazima ambayo feza haziwezi kununua.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine