Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 2/15 uku. 4
  • Tutiane Moyo kwa Bidii Katika Matendo Mazuri

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tutiane Moyo kwa Bidii Katika Matendo Mazuri
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tufikiriane Na Kutiana Moyo
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Uache ‘Zawadi ya Bure Isiyoelezeka’ ya Mungu Ikuchochee
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Mikutano Inachochea Kwenye Matendo Mema
    Huduma Yetu ya Ufalme—1997
  • ‘Iweni Matajiri Katika Kazi Zilizo Bora’
    Huduma Yetu ya Ufalme—2002
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2015
km 2/15 uku. 4

Tutiane Moyo kwa Bidii Katika Matendo Mazuri

Andiko la Waebrania 10:24 linatuomba ‘tuchocheane [tutiane moyo] katika upendo na matendo mazuri.’ Tunaweza kuwatia moyo ndugu na dada zetu kupitia mufano wetu na maneno yetu. Elezea ndugu na dada katika kutaniko mambo mazuri yenye ulijionea katika maisha yako ya Kikristo. Waonyeshe furaha yenye umepata katika kumutumikia Yehova. Lakini, epuka kujilinganisha nao ao kuwalinganisha na watu wengine kwa njia isiyofaa. (Gal. 6:4) Tafuta nafasi ya kutumia uwezo wako ili kuwatia wengine moyo katika “upendo na matendo mazuri,” hapana katika kuwahukumu na matendo mazuri. (Soma kitabu Shule ya Huduma, uku. 158, fu. 4.) Kwanza, tuchochee wengine katika upendo; kisha, matendo, kama vile kuwafanyia wengine mema ao kuwahubiri, yatafuata.​—2 Kor. 1:24.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine