Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
Munara wa Mulinzi 01/06/15
“Tunatembelea majirani wetu kwa muda mufupi ili kuwachochea wapendezwe tena zaidi na Biblia. Watu wengi wanawaza kama leo sayansi imeonyesha kwamba Biblia haiseme kweli. Weye unawaza nini juu ya Biblia? Unawaza kama tunapaswa kuitumainia? [Acha mutu ajibu.] Ona mufano mumoja wenye kuonyesha kwamba Biblia haipingane na sayansi. [Soma Ayubu 26:7.] Gazeti hili linaonyesha namna gani sayansi na Biblia havipingane lakini vinasaidiana.”
Amuka! Mwezi wa 06
“Kwa sababu wengi kati ya majirani wetu ni wagonjwa, tunawatembelea ili kuwaonyesha andiko hili lenye kutia moyo. [Soma Isaya 33:24a.] Unawaza maisha yangekuwa namna gani kama magonjwa hayangekuwa? [Acha mutu ajibu.] Gazeti hili linaonyesha mambo tano ya kufanya ili tukuwe na afya nzuri sana tukingojea unabii huo utimie.”