UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | AYUBU 38-42
Kusali kwa Ajili ya Wengine Kunamupendeza Yehova
Yehova aliomba Ayubu asali kwa ajili ya Elifazi, Bildadi, na Sofari
Yehova aliomba Elifazi, Bildadi, na Sofari waende kwa Ayubu na kutoa zabihu ya kuteketezwa
Ayubu alipaswa kusali kwa ajili yao
Kisha Ayubu kusali kwa ajili yao, alibarikiwa
Yehova alimubariki sana Ayubu kwa sababu ya imani na uvumilivu wake
Yehova alimaliza taabu ya Ayubu, na akamurudishia afya ya muzuri
Marafiki wa Ayubu na watu wa familia yake walimufariji juu ya taabu yenye alipata
Yehova alimurudishia Ayubu mali yake, alimurudishia mara mbili vitu vyote vyenye alipoteza
Ayubu na bibi yake walizaa watoto wengine kumi
Ayubu aliishi miaka ingine 140 na akaona vizazi ine vya familia yake