UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 69-73
Watu wa Yehova Wako na Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli
Bidii yetu kwa ajili ya ibada ya kweli inapaswa kuonekana wazi-wazi
Daudi alionyesha bidii kwa ajili ya kazi ya Yehova maisha yake yote
Daudi hakukubali kitu ao mutu fulani ashindane na jina la Yehova ao kulizarau
Wakristo wenye kukomaa wanaweza kusaidia vijana wakuwe na bidii
Muandikaji wa zaburi hii, pengine Daudi, alionyesha kama anatamani kufundisha kizazi cha wakati wenye kuja
Wazazi na Wakristo wenye uzoefu wanaweza kuzoeza vijana
Bidii yetu inatuchochea kuwaambia wengine mambo yenye Ufalme utafanyia wanadamu
Mustari wa 3—Kila mutu atakuwa na amani
Mustari wa 12—Masikini atapata musaada
Mustari wa 14—Jeuri haitakuwa tena
Mustari wa 16—Kutakuwa chakula kwa ajili ya kila mutu