Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 8 uku. 8
  • Fundisha Kweli

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Fundisha Kweli
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuandika Namna Yako ya Kuwatolea Watu Magazeti
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 8 uku. 8

MAISHA YA MUKRISTO

Fundisha Kweli

Kuanzia Mwezi wa 9, katika Utumishi na Maisha ya Mukristo Buku la Mukutano kutaongezwa sehemu mupya juu ya namna ya kuanzisha mazungumuzo; sehemu hiyo itakuwa na kichwa “Fundisha Kweli.” Kusudi letu litakuwa kukazia fundisho fulani la musingi la Biblia kwa kutumia ulizo na andiko.

Kama mutu anapendezwa, tunaweza kumutayarisha kwa ajili ya kumurudilia kwa kumuachia kichapo fulani, ao kwa kumuonyesha video fulani ya jw.org. Tunapaswa kujikaza kumurudilia mutu haraka ili kuendelesha mazungumuzo. Sehemu hiyo mupya na migao ya wanafunzi itategemea mambo makubwa yenye kuwa katika sura za kitabu Biblia Inaweza Kutufundisha Nini? [hakijapatikana katika Swahili (Congo)]. Kitabu hicho kinategemea kitabu Biblia Inafundisha Kabisa Nini? Kwa hiyo, katika kitabu Biblia Inafundisha tunaweza kupata habari zingine na maandiko mengine yenye tutatumia wakati tunarudilia mutu, ao wakati tunajifunza na mutu kwa kutumia Biblia tu.

Kuna njia moja tu yenye kuongoza kwenye uzima. (Mt 7:13, 14) Kwa sababu tunazungumuza na watu wa dini na hali mbalimbali, tunapaswa kuchagua mafundisho ya Biblia yenye kila mumoja wao anaweza kufurahia. (1 Tim 2:4) Ikiwa tunaelewa zaidi mafundisho mbalimbali ya Biblia na tunakomalisha ufundi wetu wa ‘kulitumia sawasawa neno la kweli,’ tutakuwa na furaha zaidi na tutapata matokeo mazuri wakati tunafundisha wengine kweli—2 Tim 2:15.

Ndugu anasomea kijana mwanaume andiko

TUMIA NAMNA HII MUPYA YA KUANZISHA MAZUNGUMUZO WAKATI. . .

  • unahubiri nyumba kwa nyumba

  • unafanya mahubiri yenye haikupangwa

  • unaanzisha funzo la Biblia

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine