Dada mumoja anahubiria mama na mutoto katika Bengali ya Mashariki, India
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
MUNARA WA MULINZI
Ulizo: Wakati fulani sisi wote tuko na lazima ya kitulizo. Lakini tunaweza kukipata wapi?
Andiko: 2Kor 1:3, 4
Namna ya Kutoa: Gazeti hili linaonyesha namna Mungu anatoa kitulizo.
MUNARA WA MULINZI (ukurasa wa mwisho)
Ulizo: Watu fulani wanawaza kama Ufalme wa Mungu uko katika moyo wa mutu; wengine wanasema ni matokeo ya kujikaza kwa wanadamu ili kuleta amani katika dunia. Weye unawaza nini?
Andiko: Dan 2:44
Namna ya Kutoa: Biblia inaonyesha kama Ufalme wa Mungu ni serikali ya kweli kabisa. Habari hii inazungumuzia zaidi mambo yenye Biblia inasema juu ya Ufalme wa Mungu.
FUNDISHA KWELI
Ulizo: Namna gani tunaweza kujua kama Mungu anatuhangaikia?
Andiko: 1Pet 5:7
Kweli: Mungu anatuomba tusali kwake kwa sababu anatuhangaikia
ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO
Ulizo:
Andiko:
Namna ya Kutoa: