UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 35-38
Ebed-meleki Ni Mufano Muzuri wa Ujasiri na Wema
Ebed-meleki, ofisa katika makao ya Mufalme Sedekia, alionyesha sifa zenye kumupendeza Mungu
Alichukua hatua na kutenda bila woga kwa kuingia mbele ya Mufalme Sedekia kwa ajili ya Yeremia na kumuokoa kwa kumutosha ndani ya tangi
Alionyesha wema kwa kuchukua vitambaa vya teke-teke na vipande vya nguo ili Yeremia aviweke kwenye makwapa yake, ili asiumie wakati wanamukokota na kamba