Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 5 uku. 3
  • Ebed-meleki Ni Mufano Muzuri wa Ujasiri na Wema

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ebed-meleki Ni Mufano Muzuri wa Ujasiri na Wema
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mthawabishaji wa Wote Wanaomtumikia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Yehova Atamulipa Kila Mumoja Kulingana na Matendo Yake
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Yehova Anatuma Yeremia Aende Kuhubiri
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 5 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 35-38

Ebed-meleki Ni Mufano Muzuri wa Ujasiri na Wema

Ebed-meleki, ofisa katika makao ya Mufalme Sedekia, alionyesha sifa zenye kumupendeza Mungu

38:7-13

  • Ebed-meleki anakuja kwa Mufalme Sedekia

    Alichukua hatua na kutenda bila woga kwa kuingia mbele ya Mufalme Sedekia kwa ajili ya Yeremia na kumuokoa kwa kumutosha ndani ya tangi

  • Alionyesha wema kwa kuchukua vitambaa vya teke-teke na vipande vya nguo ili Yeremia aviweke kwenye makwapa yake, ili asiumie wakati wanamukokota na kamba

    Nabii Yeremia anatoshwa katika tangi

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine