UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 39-43
Yehova Atamulipa Kila Mumoja Kulingana na Matendo Yake
Sedekia alikataa kufuata muongozo wa Yehova wa kujitiisha kwa Babiloni
Wababiloni waliua watoto wake mbele ya macho yake. Kisha wakamutoboa macho, wakamufunga kwa pingu za shaba, na kumupeleka Babiloni na kumufunga mupaka wakati alikufa
Ebed-meleki alionyesha kama alimutegemea Yehova na alimuhangaikia Yeremia nabii wa Yehova
Yehova aliahidi kumuokoa Ebed-meleki wakati inchi ya Yuda ingeharibiwa
Yeremia alihubiri bila kuogopa kwa miaka mingi mbele muji wa Yerusalemu uharibiwe
Yehova alimulinda Yeremia wakati muji wa Yerusalemu ulizungukwa na alifanya mupango ili Wababiloni wamuachilie huru