Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 11 uku. 6
  • Tuendelee Kuwa Macho Kiroho na Wenye Bidii

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuendelee Kuwa Macho Kiroho na Wenye Bidii
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Umutegemee Yehova ili Uishi!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Tuige Mufano wa Manabii—Habakuki
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Tuendelee Kuwa Macho Kiroho na Wenye Bidii Wakati Hali Zetu Zinabadilika
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 11 uku. 6

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | NAHUMU 1–HABAKUKI 3

Tuendelee Kuwa Macho Kiroho na Wenye Bidii

Hab 1:5, 6

Pengine hakuna mutu angewazia kama Wababiloni wangeharibu kabisa Yuda. Yuda ilikuwa inapata musaada wa Misri yenye nguvu. Wamisri walikuwa na nguvu kuliko Wakaldayo. Tena, Wayahudi wengi waliamini kama Yehova hawezi kuruhusu uharibifu wa Yerusalemu na hekalu lake. Lakini, unabii ulipaswa kutimia na Habakuki alipaswa kuungojea kwa kuendelea kuwa macho kiroho na mwenye bidii.

Nabii Habakuki anaishi na watu wabaya, lakini anaendelea kuwa macho kiroho

Ni nini inanisadikisha kama mwisho wa ulimwengu huu unakaribia sana?

Namna gani ninaweza kuendelea kuwa macho kiroho na mwenye bidii?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine