UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 1-3
“Ufalme wa Mbinguni Umekaribia”
Nguo za Yohana na namna anaonekana inaonyesha wazi kama aliishi maisha mepesi ili ajitoe kabisa kufanya mapenzi ya Yehova
Kati ya mambo yote yenye Yohana alijinyima, hakuna hata jambo moja lenye lililingana na pendeleo lake kubwa la kumutayarishia Yesu njia
Kuishi maisha mepesi kunatusaidia tufanye mengi zaidi katika kazi ya Mungu, na kunatuletea furaha kubwa. Tunaweza kufanya maisha yetu ikuwe mepesi kwa . . .
kujua mambo yenye tuko nayo lazima kabisa
kuepuka kununua vitu vyenye hatuko navyo lazima
kuandika mambo yenye tuko nayo lazima
kuachana na vitu vyenye hatutumie tena
kulipa madeni
kupunguza kutumika kisha saa za kazi
Yohana alikula tu mapanzi na asali ya pori
Kuishi maisha mepesi kutanisaidia nitimize muradi wangu gani?