Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 6 uku. 6
  • Umuige Yesu kwa Kupambana na Majaribu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Umuige Yesu kwa Kupambana na Majaribu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Musipende Ulimwengu ao Vitu Vyenye Viko Katika Ulimwengu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Tunapaswa Kuwa Watu Wa Namna Gani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Upende Haki na Uchukie Kuvunja Sheria
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • “Yehova Mungu Wako Ndiye Unapaswa Kuabudu”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 6 uku. 6

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | LUKA 4-5

Umuige Yesu kwa Kupambana na Majaribu

Shetani anajaribu kuvunja ushikamanifu wetu kwa Yehova kwa kuchochea tamaa za moyo wetu. Anajaribu ufundi tofauti kuhusu kila mutu, kulingana na namna mutu anajisikia, vitu vyenye anapenda, na hali zake za maisha.

Yesu alitumia silaha gani yenye nguvu ili kupinga majaribu tatu yenye Shetani anazoea kutumia? (Ebr 4:12; 1Yoh 2:15, 16) Namna gani ninaweza kuiga mufano wa Yesu?

  • Yesu anakataa kugeuza majiwe kuwa mikate

    4:1-4

    “Tamaa ya mwili”

  • Yesu anapinga jaribu la Shetani la kumupatia falme zote za dunia

    4:5-8

    “Tamaa ya macho”

  • Yesu kwenye munara wa hekalu

    4:9-12

    “Kujionyesha”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine