Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 10 uku. 8
  • Upendo Unatambulisha Wakristo wa Kweli—Tulinde Umoja Wetu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Upendo Unatambulisha Wakristo wa Kweli—Tulinde Umoja Wetu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ile Yote Juu Tu Dada Yetu Aliwaonyesha Sura ya Kicheko!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Unis grâce à l’enseignement divin —Kutazama Umoja wa Kweli wa Kikristo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2001
  • Usaidie Kutaniko Iendelee Kuwa na Umoja
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Video Inayostahili Kufikiriwa Sana
    Huduma Yetu ya Ufalme—2006
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 10 uku. 8

MAISHA YA MUKRISTO

Upendo Unatambulisha Wakristo wa Kweli​—Tulinde Umoja Wetu

SABABU GANI NI LAZIMA: Usiku wenye ulitangulia kifo chake, Yesu alisali ili wanafunzi wake “waunganishwe kikamili” (Yoh 17:23, maelezo ya chini) Ili tuendelee kuwa katika umoja tunapaswa kuonyesha upendo wenye “Hauweke hesabu ya ubaya”​—1Ko 13:5.

NAMNA YA KUFANYA:

  • Tumuige Yehova kwa kukazia uangalifu sifa za muzuri za wengine

  • Tukuwe tayari kusamehe

  • Kisha kumaliza matatizo, tusiizungumuzie tena.​—Mez 17:9

MUANGALIE VIDEO “MUKUWE NA UPENDO KATI YENU”​—USIHESABIE MAKOSA, KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Mu sehemu ya kwanza ya video, namna gani Hélène alionyesha kama ‘anasehabia makosa’?

  • Mu sehemu ya pili ya video, namna gani Hélène aliweza kuachana na mawazo yake ya mubaya juu ya wengine na kuwa tena na mawazo ya muzuri?

  • Mwishowe, namna gani Hélène alichangia ili kutaniko likuwe na umoja?

Alice, Hélène, na Suzanne

Ni nani tunakosea sana wakati tunaendelea kuhesabia makosa?

MUFANO WA BIBLIA WA KUFIKIRIA: Mutume Paulo alitambua sifa za muzuri za Marko, hata kama Marko alikuwa amemukosea.​—Mdo 13:13; 15:37, 38; 2Ti 4:11.

UJIULIZE: ‘Namna gani ninaweza kumutumainia tena mutu mwenye alinikosea?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine