Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 2 uku. 3
  • Unaona Sifa za Mungu Zenye Hazionekane?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Unaona Sifa za Mungu Zenye Hazionekane?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maajabu ya Uumbaji Yanafunua Utukufu wa Mungu
    Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Ujifunze Mambo Mingi Zaidi juu ya Yehova Kupitia Uumbaji
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • Mufundishe Watoto Wenu juu ya Yehova Kupitia Uumbaji
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • Uumbaji Unaonyesha Upendo wa Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 2 uku. 3

MAISHA YA MUKRISTO

Unaona Sifa za Mungu Zenye Hazionekane?

Wakati unaona maua ya muzuri sana, mbingu yenye kujaa nyota, ao poromoko ya maji yenye kuvuma, je, unatambua kama kuko Muumbaji mwenye alifanya ile yote? Uumbaji wenye kutuzunguka unaonyesha waziwazi sifa za Yehova zenye hazionekane. (Ro 1:20) Kama tunafikiri kuhusu vitu vyenye tunaona na macho yetu, tutatambua kama Mungu iko na nguvu, upendo, hekima, haki, na ni mukarimu.​—Zb 104:24.

Ni vitu gani vyenye Yehova aliumba vyenye unajioneaka kila siku? Hata kama unaishi mu muji mukubwa, pengine unaonaka ndege ao miti. Kuchunguza sana uumbaji wa Yehova kunaweza kutusaidia kupunguza mahangaiko, kukaza akili yetu juu ya mambo ya maana zaidi, na kunaweza kutusaidia tukuwe hakika kabisa kama Yehova ataendelea kutuhangaikia milele. (Mt 6:25-32) Kama uko na watoto, uwasaidie watambue sifa za ajabu za Yehova. Kadiri tutaendelea kufurahia uumbaji wa Yehova wenye kutuzunguka, tutamukaribia zaidi Muumbaji wetu.​—Zb 8:3, 4.

MUANGALIE VIDEO UUMBAJI UNAFUNUA UTUKUFU WA MUNGU​—MWANGAZA NA RANGI, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Rangi mbalimbali zinatokaka wapi?

  • Juu ya nini rangi fulani zinabadilikaka kulingana na kwenye mutu iko anaziangalilia?

  • Juu ya nini tunaonaka rangi mbalimbali mu anga?

  • Ni rangi gani za kupendeza sana zenye umekwisha kuona karibu na weye?

  • Juu ya nini tunapaswa kuwa na zoezi ya kuchunguza sana vitu vyenye Yehova aliumba?

Maua ya rose, kipepeo cha bluu, matunda ya rangi mbalimbali, na jua yenye iko inashuka

Mwangaza na rangi vinatufundisha nini juu ya Yehova?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine