UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 1 WAKORINTO 4-6
“Chachu Kidogo Inachachisha Donge Lote”
Kwa kuwa kutenga mutu na kutaniko kunaletaka huzuni, je, tunaweza kusema kama kunaonyesha upendo?
Kutenga mutu na kutaniko kunaonyesha upendo kwa . . .
Yehova sababu kunaheshimisha jina lake takatifu.—1Pe 1:15, 16
kutaniko sababu kunalinda kutaniko lisiambukizwe na mazoea ya mubaya.—1Ko 5:6
mukosaji sababu kunamusaidia atubu.—Ebr 12:11
Unaweza kufanya nini juu ya kutegemeza washiriki wa familia ya mutengwa?