Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 4 uku. 8
  • Fuatia Elimu ya Yehova

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Fuatia Elimu ya Yehova
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Wahubiri wa Ufalme Wanapewa Mazoezi
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Unapendaka Kujaza Fomu kwa Ajili ya Masomo ya Waeneza-Injili wa Ufalme?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Ujaze Fomu ya Masomo ya Waeneza-Injili wa Ufalme
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Shule ya Mazoezi ya Kihuduma—Mlango Mkubwa Unaoongoza Kwenye Utendaji
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 4 uku. 8

MAISHA YA MUKRISTO

Fuatia Elimu ya Yehova

SABABU GANI NI LAZIMA: Yehova, Mufundishaji Mukubwa, anatoa elimu yenye inapita yote. Anatufundisha namna ya kufanya maisha yetu ikuwe muzuri na anatutayarisha kwa ajili ya maisha ya muzuri ya wakati weye kuja​—na anatupatia ile elimu yote kwa bure! (Isa 11:6-9; 30:20, 21; Ufu 22:17) Elimu yenye Yehova anatupatia inatusaidia tujue namna ya kuhubiria wengine ujumbe wenye unaweza kuokoa uzima wao.​—2Ko 3:5.

NAMNA YA KUFANYA:

  • Komalisha sifa ya unyenyekevu na upole.​—Zb 25:8, 9

  • Faidika na mazoezi yenye Yehova iko anakupatia tangu sasa, kwa mufano, kwa kukubali kufanya vipindi vyenye wanakupatia ku mukutano Utumishi na Maisha

  • Ujiwekee miradi ya kiroho.​—Flp 3:13

  • Ujinyime mambo fulani kusudi ufikie kupata mazoezi zaidi.​—Flp 3:8

MUANGALIE VIDEO TUMEKUWA MATAJIRI KIROHO KWA SABABU YA MAFUNDISHO YA YEHOVA, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Ni vizuizi gani wahubiri fulani walishinda juu wahuzurie Masomo kwa Ajili ya Waeneza-Injili wa Ufalme?

  • Ni mazoezi gani yenye watu wanapewa ku Masomo kwa Ajili ya Waeneza-Injili wa Ufalme?

  • Wakati wanafunzi wenye walisoma Masomo kwa Ajili ya Waeneza-Injili wa Ufalme walifika mu migao yao ya mupya, namna gani ndugu na dada waliwasaidia?

  • Ni mambo gani mutu anapaswa kutimiza juu aalikwe ku Masomo kwa Ajili ya Waeneza-Injili wa Ufalme? (kr uku. 189)

  • Unaweza kujiwekea muradi wa kuhuzuria masomo gani ingine mu tengenezo la Yehova?

Wanafunzi wenye walisomaka Masomo kwa Ajili ya Waeneza-Injili wa Ufalme wanatumikia Namibie, Norvège, Amerika, na Japon

Ni baraka gani utapata kama unafuatia elimu ya Yehova?

MAZOEZI YA KITEOKRASI YENYE NIMEKWISHA KUPATA

  • Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo

  • Masomo kwa Ajili ya Mapainia

  • Masomo ya Huduma ya Ufalme

  • Masomo kwa Ajili ya Wazee wa Kutaniko

  • Masomo kwa Ajili ya Waeneza-Injili wa Ufalme

NI MAZOEZI GANI YA KITEOKRASI YENYE NINAPENDA NIPATE?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine