Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 10 uku. 8
  • Yehova Anapenda Watu Wenye Kuwa Safi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Anapenda Watu Wenye Kuwa Safi
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu Anapenda Watu Walio Safi
    Mubaki “Katika Upendo wa Mungu”
  • Yehova Anapenda Watu Wake Wakuwe Safi
    Namna ya Kubakia Katika Upendo wa Mungu
  • Watumishi wa Mungu Wanapaswa Kuwa Safi
    Mungu Anataka Nini Kwetu?
  • Tunaweza Kufanya Nini Juu Tukuwe Safi mu Macho ya Mungu?
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 10 uku. 8
Ndugu mumoja iko anasafisha choo kwenye Jumba la Ufalme

MAISHA YA MUKRISTO

Yehova Anapenda Watu Wenye Kuwa Safi

“Unawe mikono. Usafishe chumba chako. Ufagie mu nyumba. Utupe uchafu.” Wazazi wengi wanawafundisha watoto wao namna ya kuwa safi kimwili. Lakini, ile maagizo ya usafi inatoka kwa Mungu wetu mutakatifu. (Kut 30:18-20; Kum 23:14; 2Ko 7:1) Tunamufurahisha Yehova wakati tunajikaza ili mwili wetu na vitu vyetu viendelee kuwa safi. (1Pe 1:14-16) Tuseme nini juu ya nyumba yetu na inje ya nyumba yetu? Tofauti na watu wenye kutupa uchafu katika barabara na katika mabustani, wakristo wanajikaza kufanya dunia iendelee kuwa safi. (Zb 115:16; Ufu 11:18) Hata namna tunatupa vitu vya kidogo-kidogo sawa vile karatasi ya bonbon, chupa, ao sachet, inaweza kuonyesha mawazo yetu juu ya usafi. Katika kila sehemu ya maisha yetu, tunapenda ‘kujipendekeza sisi wenyewe kuwa watumishi wa Mungu.’​—2Ko 6:3, 4.

MUANGALIE VIDEO MUNGU ANAPENDA WATU WENYE KUWA SAFI, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Ni visingizio gani vyenye watu fulani wanaweza kutoa vya kukosa kuhangaikia usafi wa vitu vyao?

  • Namna gani sheria ya Musa ilionyesha mawazo ya Yehova juu ya usafi?

  • Tunaweza kufanya nini ili kutoa ushahidi juu ya Yehova bila kusema jambo lolote?

Baba anaingia mu motokari yenye kuwa chafu ya kijana wake mwanaume; baba anazungumuza na kijana wake mwanaume juu ya kanuni za Yehova za usafi; makuhani wawili katika Israeli ya zamani wako pembeni ya beseni ya shaba ya kunawia; kikundi cha ndugu wenye kuenda mu mahubiri wanatoka mu motokari ya ule kijana mwanaume yenye kuwa sasa safi

Namna gani ninaweza kuonyesha kama niko na mawazo ya Yehova juu ya usafi mu maisha yangu?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine