UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 1 PETRO 3-5
“Mwisho wa Mambo Yote Umekaribia”
Karibuni kutatokea taabu kubwa sana yenye haijatokeaka. Tunaweza kufanya nini ili tuendelee kuwa waaminifu leo na wakati wenye kuja?
Uendelee kusali, kwa kutumia aina zote za sala
Upende sana ndugu na dada zako Wakristo, na uwakaribie hata zaidi
Ukuwe mukaribishaji-wageni
UJIULIZE HIVI: ‘Ninaweza kufanya nini ili kuonyesha kama ninapenda sana ndugu na dada zangu wa eneo langu na wa mu dunia yote na kuwaonyesha ukaribishaji-wageni?’