UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 4-5
“Nitakuwa Pamoja na Wewe Wakati Utakuwa Unazungumuza”
Yehova alimusaidia Musa asikuwe tena na woga. Mambo yenye Yehova aliambia Musa inaweza kutufundisha nini?
Hatupaswe kukaza akili juu ya mambo yenye hatuwezi kufanya
Tunaweza kuwa hakika kama Yehova atatupatia jambo lolote lenye tuko nalo lazima ili kutimiza kazi yenye ametupatia
Imani yetu katika Mungu itatusaidia tusiogope wanadamu
Namna gani Yehova anaweza kunisaidia niendelee kuhubiri hata wakati ni nguvu kufanya vile?