Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 6 uku. 7
  • Tarehe 29/6–5/7

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 29/6–5/7
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 6 uku. 7

Tarehe 29/6–5/7

KUTOKA 4-5

  • Wimbo 3 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Nitakuwa Pamoja na Wewe Wakati Utakuwa Unazungumuza”: (Dak. 10)

    • Kut 4:10, 13​—Musa alijisikia kama hangeweza kufanya kazi yenye Yehova alimupatia (w10 15/10 uku. 13-14)

    • Kut 4:11, 12​—Yehova alimuhakikishia kama atamusaidia (w14 15/4 uku. 9 fu. 5-6)

    • Kut 4:14, 15​—Yehova alimuambia Musa kama Haruni njo angekuwa musaidizi wake (w10 15/10 uku. 14)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Kut 4:24-26​—Pengine ni juu ya nini Zipora alimuita Yehova “bwana-arusi wa damu”? (w04 15/3 uku. 28 fu. 4)

    • Kut 5:2​—Ni katika maana gani Farao hakumujua Yehova? (it-1-F uku. 1257 fu. 3)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Kut 4:1-17 (th somo ya 12)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha ualike musikilizaji kwenye mikutano yetu. (th somo ya 2)

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha utolee musikilizaji kichapo cha funzo. (th somo ya 4)

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) bhs uku. 100 fu. 15-16 (th somo ya 8)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 61

  • “Vile Tunapaswa Kutumia Sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo”: (Dak. 5) Mazungumuzo.

  • “Unaweza Kuhubiri na Kufundisha!”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Ukuwe Hodari . . . Muhubiri.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 121

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 73 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine