Tarehe 29/6–5/7
KUTOKA 4-5
Wimbo 3 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Nitakuwa Pamoja na Wewe Wakati Utakuwa Unazungumuza”: (Dak. 10)
Kut 4:10, 13—Musa alijisikia kama hangeweza kufanya kazi yenye Yehova alimupatia (w10 15/10 uku. 13-14)
Kut 4:11, 12—Yehova alimuhakikishia kama atamusaidia (w14 15/4 uku. 9 fu. 5-6)
Kut 4:14, 15—Yehova alimuambia Musa kama Haruni njo angekuwa musaidizi wake (w10 15/10 uku. 14)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Kut 4:24-26—Pengine ni juu ya nini Zipora alimuita Yehova “bwana-arusi wa damu”? (w04 15/3 uku. 28 fu. 4)
Kut 5:2—Ni katika maana gani Farao hakumujua Yehova? (it-1-F uku. 1257 fu. 3)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Kut 4:1-17 (th somo ya 12)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha ualike musikilizaji kwenye mikutano yetu. (th somo ya 2)
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha utolee musikilizaji kichapo cha funzo. (th somo ya 4)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) bhs uku. 100 fu. 15-16 (th somo ya 8)
MAISHA YA MUKRISTO
“Vile Tunapaswa Kutumia Sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo”: (Dak. 5) Mazungumuzo.
“Unaweza Kuhubiri na Kufundisha!”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Ukuwe Hodari . . . Muhubiri.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 121
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 73 na Sala