MAISHA YA MUKRISTO
Ukuwe Munyenyekevu—Uepuke Kujisifu
Maneno ya kujisifu na ya kujivuna haijenge wale wenye kuisikia, na inaonyesha kama mutu iko na kiburi. Kwa hiyo, Biblia inasema hivi: “Acha mutu mwingine akusifu, hapana kinywa chako mwenyewe.”—Mez 27:2.
MUANGALIE VIDEO UKUWE RAFIKI YA YEHOVA—UKUWE MUNYENYEKEVU, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:
Watu wanazoea kujisifu juu ya mambo gani fulani?
Kalebu alikuwa anajisifu juu ya mambo gani mbele ya rafiki yake?
Baba ya Kalebu alimusaidia namna gani?
Namna gani andiko la 1 Petro 5:5 linaweza kutusaidia kuwa wanyenyekevu?