Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 7 uku. 6
  • Maana ya Pasaka kwa Wakristo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maana ya Pasaka kwa Wakristo
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Pigo ya Kumi
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • “Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Mambo Yenye Kufanana na Yenye Kutofautiana Kati ya Pasaka na Ukumbusho
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • “Musimame Imara na Muone Wokovu Wenye Yehova Atafanya”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 7 uku. 6
Watu wa familia moja ya Waisraeli wanasimama na wako wanakula chakula cha Pasaka mbele ya kuondoka Misri.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 12

Maana ya Pasaka kwa Wakristo

12:5-7, 12, 13, 24-27

Ili Waisraeli wasipatwe na pigo la kumi, walipaswa kutii maagizo. (Kut 12:28) Usiku wa Nisani 14, kila familia ilipaswa kukutana mu nyumba yao. Walipaswa kuua mwana-kondoo dume ao mbuzi; wale wanyama walipaswa kuwa na mwaka moja na walipaswa pia kuwa na afya ya muzuri. Na walipaswa kupakaa damu yake kwenye miimo ya milango na muingilio wa milango. Kisha walipaswa kuchoma ule munyama na kumukula haraka. Hakuna mutu mwenye alipaswa kutoka inje ya nyumba mupaka asubui.​—Kut 12:9-11, 22.

Utii unatulinda leo mu njia gani mbalimbali?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine