Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 8 uku. 2
  • “Musimame Imara na Muone Wokovu Wenye Yehova Atafanya”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Musimame Imara na Muone Wokovu Wenye Yehova Atafanya”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • B5 Tabenakulo na Kuhani Mukubwa
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Ni Mweza-Yote Lakini Anafikiria Wengine
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • “Niliwawekea Ninyi Mufano”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • “Sasa Utaona Mambo Yenye Nitamutendea Farao”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 8 uku. 2
Waisraeli wako wanavuka Bahari Nyekundu kwenye udongo wenye kukauka. Nguzo ya moto iko inawaangazia ili waone njia.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 13-14

“Musimame Imara na Muone Wokovu Wenye Yehova Atafanya”

14:13, 14, 21, 22, 26-28

Yehova ni Mukombozi mwenye anapenda watu wake na anawahangaikia. Wakati Waisraeli walikuwa wanatoka Misri, Yehova alifanya nini ili kuonyesha kama aliwapenda?

  • Aliwapanga muzuri.​—Kut 13:18

  • Aliwaongoza na kuwalinda.​—Kut 14:19, 20

  • Alikomboa watu wake wote, vijana na wazee.​—Kut 14:29, 30

Kwa kuwa taabu kubwa inakaribia, tunaweza kuwa hakika juu ya jambo gani?​—Isa 30:15

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine