UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 13-14
“Musimame Imara na Muone Wokovu Wenye Yehova Atafanya”
Yehova ni Mukombozi mwenye anapenda watu wake na anawahangaikia. Wakati Waisraeli walikuwa wanatoka Misri, Yehova alifanya nini ili kuonyesha kama aliwapenda?
Aliwapanga muzuri.—Kut 13:18
Aliwaongoza na kuwalinda.—Kut 14:19, 20
Alikomboa watu wake wote, vijana na wazee.—Kut 14:29, 30
Kwa kuwa taabu kubwa inakaribia, tunaweza kuwa hakika juu ya jambo gani?—Isa 30:15