Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 8 uku. 8
  • Uone Uzima Kama Vile Yehova Anauona

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Uone Uzima Kama Vile Yehova Anauona
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Ukombozi Wenu Unakaribia”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Mungu Anamujaribu Abrahamu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Heshimia Bengine
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • Unaweza Kuchangia Furaha ya Familia Yenu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 8 uku. 8
Picha: 1. Ndugu kijana anamusaidia mwanamuke mwenye kuzeeka kubeba muzigo wake wakati wako wanapanda ku escalier 2. Dada iko anahubiria mwanamuke mumoja fasi ya kushotea maji.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 21-22

Uone Uzima Kama Vile Yehova Anauona

21:20, 22, 23, 28, 29

Yehova anaona uzima kuwa wa maana. Tunaweza kumuiga namna gani?

  • Upende sana wengine na uwaheshimie. ​—Mt 22:39; 1Yo 3:15

  • Uonyeshe ule upendo kwa kuongeza bidii yako mu kazi ya kuhubiri.​—1Ko 9:22, 23; 2Pe 3:9

  • Uhangaikie sana usalama.​—Mez 22:3

Namna gani kuheshimia uzima kunaweza kutusaidia tusikuwe na hatia ya damu?

Ndugu iko anapiga miayo (bâiller) wakati iko anatembeza motokari usiku.
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine