UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 21-22
Uone Uzima Kama Vile Yehova Anauona
Yehova anaona uzima kuwa wa maana. Tunaweza kumuiga namna gani?
Uonyeshe ule upendo kwa kuongeza bidii yako mu kazi ya kuhubiri.—1Ko 9:22, 23; 2Pe 3:9
Uhangaikie sana usalama.—Mez 22:3
Namna gani kuheshimia uzima kunaweza kutusaidia tusikuwe na hatia ya damu?