Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 7 uku. 11
  • Unaweza Kuchangia Furaha ya Familia Yenu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Unaweza Kuchangia Furaha ya Familia Yenu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Familia Yako Inaweza Kuwa na Furaha
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Nizamu Inaonyesha Kama Yehova Anatupenda
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Tumia Kanuni za Biblia ili Kusaidia Watoto Wako Wapate Matokeo ya Muzuri
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • “Heshimia Baba Yako na Mama Yako”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 7 uku. 11
Picha: Picha zenye kuwa mu video “Fanya Familia Yako Ikuwe na Furaha.” 1. Watoto wanamuke wako naangalia namna wazazi wao wako nafurahia kula keki. Mutoto mumoja mwanamuke anakuya kuangalia mama yake mwenye kuwa mugonjwa mwenye analala ku kiti.

MAISHA YA MUKRISTO

Unaweza Kuchangia Furaha ya Familia Yenu

Yehova anapenda familia zikuwe na furaha. (Zb 127:3-5; Muh 9:9; 11:9) Lakini tunaweza kupoteza furaha kwa sababu ya mahangaiko ya hii dunia na makosa ya watu wa familia yetu. Kila mutu mu familia anaweza kufanya nini juu ya kuchangia furaha ya familia?

Bwana apatie bibi yake heshima. (1Pe 3:7) Apitishe wakati pamoya naye. Hatamuomba kufanya mambo yenye kupita uwezo wake na atamuonyesha shukrani juu ya mambo yenye iko nafanya kwa ajili ya yake na kwa ajili ya familia. (Kol 3:15) Amuonyeshe upendo na kumusifu.​—Mez 31:28, 31.

Bibi atafute njia za kumutegemeza bwana yake. (Mez 31:12) Ajitiishe kwake na amuunge mukono. (Kol 3:18) Azungumuze naye kwa upendo na aseme mambo ya muzuri juu yake.​—Mez 31:26.

Wazazi wapitishe wakati pamoya na watoto wao. (Kut 6:6, 7) Waambie watoto wao kama wanawapenda. (Mt 3:17) Wanapaswa kuonyesha upendo na utambuzi wakati wanawapatia nizamu.​—Efe 6:4.

Watoto waheshimu na watii wazazi wao. (Mez 23:22) Waelezee wazazi wao mawazo yao na namna wanajisikia. Wakubali nizamu kutoka kwa wazazi wao.​—Mez 19:20.

MUANGALIE VIDEO FANYA FAMILIA YAKO IKUWE NA FURAHA, KISHA MUJIBIE HII ULIZO:

• Kila mumoja alifanya nini ili kuchangia furaha ya familia?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine