Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 12 uku. 5
  • Ibada Safi Haipaswe Kuchafuliwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ibada Safi Haipaswe Kuchafuliwa
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu Anapenda Watu Walio Safi
    Mubaki “Katika Upendo wa Mungu”
  • Watumishi wa Mungu Wanapaswa Kuwa Safi
    Mungu Anataka Nini Kwetu?
  • Yehova Anapenda Watu Wake Wakuwe Safi
    Namna ya Kubakia Katika Upendo wa Mungu
  • Usafi
    Amuka!—2014
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 12 uku. 5

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MAMBO YA WALAWI 14-15

Ibada Safi Haipaswe Kuchafuliwa

15:13-15, 28-31

Ili tubakie katika upendo wa Mungu, tunapaswa kuwa safi inje na ndani. Ni kusema, kufuata kabisa kanuni za Yehova kuhusu mwenendo safi, kuhusu usafi wa kimwili, na kuhusu usafi wa kiroho hata kama watu wengine mu hii dunia hawafuate zile kanuni. Tunaepuka kufanya jambo lolote lenye Baba yetu wa mbinguni anaona kuwa ni la mubaya.

Picha: Picha zenye kuonyesha matendo ya mubaya yenye kuwa mu dunia. 1. Kiongozi wa dini mwanaume iko anasali kwa ajili ya maaskari. 2. Kiongozi wa dini mwanamuke iko anabariki ndoa ya mwanaume na mwanaume. 3. Fasi fulani ya kuuzishia vitu kunaonyeshwa tukio la kuzaliwa na muti wa Noeli.

Kuepuka kuwa na mawazo ya ulimwengu kunaniletea faida gani?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine