Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Mwezi wa 7 uku. 8
  • Sheria Ilionyesha Kama Yehova Alihangaikia Wanyama

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Sheria Ilionyesha Kama Yehova Alihangaikia Wanyama
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna Inchi Iligawanywa Ilionyesha Hekima ya Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Wanyama
    Amuka!—2015
  • Yehova Anapigania Israeli
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Namna Yehova Anapenda Tumuabudu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
mwb21 Mwezi wa 7 uku. 8

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Sheria Ilionyesha Kama Yehova Alihangaikia Wanyama

Munyama mwenye alikuwa mu mateso hangepaswa kuachwa (Kum 22:4; it-1-F uku. 868)

Ndege mwenye vitoto hangepaswa kutendewa kwa jeuri (Kum 22:6, 7; it-1-F uku. 635 fu. 2)

Wanyama wenye walikuwa na uwezo tofauti hawakupaswa kutumikishwa pamoja (Kum 22:10; w03-SW 15/10 uku. 32 fu. 1-2)

Ngombe-dume na punda wanafungwa nira pamoja. Nira inalalia upande moja juu wanyama hawako na uwezo uleule.

Namna tunatendea wanyama inaweza kufanya Yehova afurahi ao ahuzunike. Hatupaswe kuwatendea kwa jeuri ao kuwaua juu tu ya kujifurahisha.​—Mez 12:10.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine