UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Hadisi ya Uhodari na Werevu
[Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu ya Waamuzi.]
Yehova aliinua Ehudi juu aokoe Israeli kutoka mu mikono ya Wamoabu (Amu 3:15; w04-SW 15/3 uku. 31 fu. 3)
Ehudi aliua Mufalme Egloni, na ile ikafanya Waisraeli wapate ushindi (Amu 3:16-23, 30; w04-SW 15/3 uku. 30 fu. 1-3)
Hii habari inatufundisha nini juu ya uhodari na kumutegemea Yehova?