Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 3 uku. 12
  • Umungojee Yehova kwa Uvumilivu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Umungojee Yehova kwa Uvumilivu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuendelee Kubakia Wanyenyekevu Wakati Tunapata Matokeo ya Muzuri
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Ufundi wa Daudi wa Kupigana Vita
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Hadisi ya Uhodari na Werevu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Ujitie Nguvu kwa Musaada wa Yehova Mungu Wako
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 3 uku. 12
Daudi na mumoja wa wanaume wake wanafichama nyuma ya pango wakati Mufalme Sauli iko naenda inje. Daudi anaambia ule mwanaume, mwenye iko na upanga, asimuue Sauli.

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Umungojee Yehova kwa Uvumilivu

Daudi alikuwa na nafasi ya kumaliza magumu yake (1Sa 24:3-5)

Daudi aliona hali yake sawa vile Yehova na alijizuia (1Sa 24:6, 7)

Daudi alikuwa na imani kama Yehova atamaliza magumu yake (1Sa 24:12, 15; w04-SW 1/4 uku. 16 fu. 8)

Sawa vile Daudi, tunapaswa kumungojea Yehova kwa uvumilivu kuliko kutumia njia zenye hazipatane na Maandiko ili kumaliza magumu yetu.​—Yak 1:4; w04-SW 1/6 uku. 22-23.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine