Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 9 uku. 2
  • Umusifu Yehova juu Iko na Hekima

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Umusifu Yehova juu Iko na Hekima
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Aliona Hekima Kuwa ya Maana
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Sala ya Unyenyekevu Yenye Sulemani Alifanya Mbele ya Watu kwa Moyo Wote
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Hekima Ni ya Maana Sana
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Sheria za Yehova Ni Zenye Hekima na Haki
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 9 uku. 2

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Umusifu Yehova juu Iko na Hekima

Yehova alimupatia Sulemani hekima ya ajabu (1Fa 10:1-3; w99-SW 1/7 uku. 30 fu. 6)

Hekima yenye Yehova alipatia Sulemani ilifanya malkia wa Sheba abakie kinywa wazi (1Fa 10:4, 5; w99-SW 1/11 uku. 20 fu. 6)

Malkia wa Sheba alimusifu Yehova juu alimuweka Sulemani kuwa mufalme (1Fa 10:6-9; w99-SW 1/7 uku. 30-31)

Dada iko anahubiria mwanamuke fulani ku restaurant.

Sawa vile malkia wa Sheba, namna gani tunaweza kuonyesha kama tunasamini hekima yenye kutoka kwa Mungu? Kwanza, ni kwa kutumikisha mafundisho ya Yesu na kujikaza sana kuiga mufano wake. (Mt 12:42; 1Pe 2:21) Pili, ni kwa kuambia wengine juu ya hekima ya Mungu mu mahubiri.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine