Malkia wa Sheba anatembelea nyumba ya Mufalme Sulemani
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Aliona Hekima Kuwa ya Maana
Malkia wa Sheba alifanya safari ya murefu na yenye haikukuwa ya mwepesi juu ya kumuona Sulemani (2Ny 9:1, 2; w99-SW 1/11 uku. 20 fu. 4; w99-SW 1/7 uku. 30 fu. 4-5)
Wakati aliona hekima na utajiri wa Sulemani, alibakia kinywa wazi (2Ny 9:3, 4; w99 1/7 uku. 30-31; ona picha ku jalada)
Mambo yenye aliona ilimuchochea amusifu Yehova (2Ny 9:7, 8; it-2-F uku. 873 fu. 6)
Malkia wa Sheba aliona hekima kuwa ya maana sana njo maana alikuwa tayari kufanya yake yote ili kuipata.
UJIULIZE HIVI: ‘Niko tayari kutafuta hekima sawa vile ninaweza kutafuta hazina zenye kufichwa?’—Mez 2:1-6.