Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 11 uku. 2
  • “Kama Mutu Anakufa, je, Anaweza Kuishi Tena?”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Kama Mutu Anakufa, je, Anaweza Kuishi Tena?”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Upendo Mushikamanifu wa Mungu Unatulinda ili Shetani Asitudanganye
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Yehova Anatumia Wanamuke Wawili ili Kuokoa Watu Wake
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Aliona Hekima Kuwa ya Maana
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Umusifu Yehova juu Iko na Hekima
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 11 uku. 2

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

“Kama Mutu Anakufa, je, Anaweza Kuishi Tena?”

Wanadamu hawana uwezo wa kuzuia kifo ao kurudisha uzima (Yob 14:1, 2, 4, 10; w99-SW 15/10 uku. 3 fu. 1-3)

Wenye walishakufa wanaweza kuishi tena (Yob 14:7-9; w15 15/4 uku. 32 fu. 1-2)

Yehova iko na uwezo wa kufufua watumishi wake na pia anapenda sana kufanya vile (Yob 14:14, 15; w11-SW 1/3 uku. 22 fu. 5)

Picha mbalimbali: 1. Kisiki ya muti inaota tena. 2. Mama anakumbatia mutoto wake mwanamuke mwenye anafufuliwa mu Paradiso.

MAULIZO YA KUTAFAKARI: Juu ya nini Yehova anapenda sana kufufua watumishi wake washikamanifu? Ile inakufanya ujisikie namna gani juu ya Yehova?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine