UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Yehova Atakusaidia Kutimiza Migao Yenye Iko Nguvu
Walawi wenye walikuwa walinzi wa milango walikuwa na daraka kubwa (1Ny 9:26, 27; w05-SW 1/10 uku. 9 fu. 8)
Mu siku za Musa, Finehasi njo alikuwa kiongozi wa walinzi wa milango ya tabenakulo (1Ny 9:17-20a)
Yehova alisaidia Finehasi atimize muzuri mugao wake (1Ny 9:20b; w11-SW 15/9 uku. 32 fu. 7)
Yehova anatupatia kazi mingi ya maana ya kufanya. Kama haujue muzuri kabisa namna ya kufanya kazi fulani, usali kwa Yehova na uombe Mukristo fulani mwenye kuwa na uzoefu akusaidie.—Flp 2:13.