Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 7 uku. 14
  • Ukuwe Mushikamanifu kwa Yehova Wakati Unachagua Marafiki

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ukuwe Mushikamanifu kwa Yehova Wakati Unachagua Marafiki
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mambo Fulani Yenye Tunajifunza Katika Kitabu cha Nehemia
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Tumetakaswa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Utie Wengine Nguvu Wakati wa Magumu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • “Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 7 uku. 14
Nehemia iko natupa vitu vya Tobia inje ya chumba ya kukulia ya hekalu.

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Ukuwe Mushikamanifu kwa Yehova Wakati Unachagua Marafiki

Waamoni na Wamoabu hawakuruhusiwa “kuingia katika kutaniko” kwa sababu zamani walipinga watu wa Mungu (Ne 13:1, 2; it-1-F uku. 100 fu. 8)

Kuhani Mukubwa Eliashibu aliruhusu Muamoni fulani atumie chumba ya kukulia chakula mu hekalu (Ne 13:4, 5; w13 15/8 uku. 4 fu. 5-6)

Nehemia alionyesha ushikamanifu wake kwa Yehova kwa kuvunja mapatano kati ya Eliashibu na ule adui ya Mungu (Ne 13:7-9)

Kama tunachagua marafiki wenye hawamupendi Yehova, je tuko washikamanifu kwa Yehova?​—w96-SW 15/3 uku. 16 fu. 6.

UJIULIZE HIVI: ‘Yehova anaona namna gani watu wenye ninachagua kupitisha nao wakati?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine