Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp25 na. 1 uku. 9
  • Juu ya Nini Vita Inaendelea?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Juu ya Nini Vita Inaendelea?
  • Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2025
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ZAMBI
  • GUVERNEMA
  • SHETANI NA MASHETANI WAKE
  • Namna Vita Itamalizika
    Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2025
  • Mungu Anapenda Wanadamu Wakuwe na Maisha ya Namna Gani?
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Namna Vita Inatuleteaka Siye Bote Matokeo ya Mubaya
    Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2025
  • Sababu Gani Watu Wanakufa?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2025
wp25 na. 1 uku. 9

Juu ya Nini Vita Inaendelea?

Biblia inafasiria mambo yenye inafanyaka kukuwe mavita na juu ya nini inaendelea kuwa.

ZAMBI

Mungu aliumba bazazi yetu ya kwanza, Adamu na Eva, kwa mufano wake. (Mwanzo 1:27) Ile inamaanisha kama balipaswa kuwa na sifa sawa za Mungu, kutia ndani, amani na upendo. (1 Wakorinto 14:33; 1 Yohana 4:8) Lakini, Adamu na Eva habakumutii Mungu na balifanya zambi. Ile ilifanya siye bote turiti zambi na kifo. (Waroma 5:12) Juu tuliriti zambi, ile njo inatusukumaka kuwaza na kutenda bya mubaya.—Mwanzo 6:5; Marko 7:21, 22.

GUVERNEMA

Mungu hakutuumba juu tujitawale. Biblia inasema hivi: “Mwanadamu mwenye kutembea hana hata uwezo wa kuongoza hatua yake.” (Yeremia 10:23) Njo maana, guvernema za banadamu haziwezi kabisa kumaliza vita.

SHETANI NA MASHETANI WAKE

Biblia inaonyesha kama “ulimwengu muzima unakaa katika nguvu za ule muovu.” (1 Yohana 5:19) Ule “muovu” anaitwa Shetani Ibilisi, na ni muuaji. (Yohana 8:44) Yeye na mashetani wake njo banasukumaka batu kupigana.—Ufunuo 12:9, 12.

Guvernema haziwezi kumaliza mambo yenye inafanyaka kukuwe vita, lakini Mungu yeye anaweza.

Dini na Vita

Mara mingi dini zinakubali, zinatetea, na kutegemeza vita. Zile dini ni dini za uongo zenye Biblia inaita “Babiloni Mukubwa.” (Ufunuo 18:2) Mungu anasema kama Babiloni Mukubwa njo mwenye alileta kifo “ya wale wote wenye wameuawa katika dunia.”(Ufunuo 18:24) Juu ya kujua mambo mingi zaidi, soma habari “Babiloni Mkubwa Ni Nani?” ku jw.org.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine