Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 2
  • Jina Yako Ni Yehova

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Jina Yako Ni Yehova
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuwafundishe Wakuwe na Imani Yenye Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Uzima Ni Muujiza
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tutafute Marafiki wa Amani
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 2

WIMBO 2

Jina Yako Ni Yehova

Maandishi

(Zaburi 83:18)

  1. 1. Mungu Mweza-Yote;

    Muumbaji wa vyote.

    Milele na milele,

    Weye ni Yehova.

    Tuko na furaha

    Ya kuwa watu wako;

    Mu makabila yote.

    Upokee sifa.

    (REFREE)

    Yehova, Yehova,

    Weye tu njo Mungu.

    Ku dunia na mbinguni

    Hakuna mwingine!

    Watu wote na wajue,

    Uko Mweza-Yote.

    Yehova, Yehova,

    Hatuna Mungu mwingine.

  2. 2. Siye tunakuwa

    Kile tu unapenda.

    Tunakutumikia.

    Weye ni Yehova.

    Kuwa Mashahidi

    Wako ni pendeleo,

    Na ni heshima sana.

    Tuko watu wako.

    (REFREE)

    Yehova, Yehova,

    Weye tu njo Mungu.

    Ku dunia na mbinguni

    Hakuna mwingine!

    Watu wote na wajue,

    Uko Mweza-Yote.

    Yehova, Yehova,

    Hatuna Mungu mwingine.

(Ona pia 2 Ny. 6:14; Zb. 72:19; Isa. 42:8.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine