WIMBO 80
Uonje na Uone Vile Yehova Ni Mwema
Maandishi
1. Tunapenda sana kazi
ya kuhubiria watu.
Tunatumia wakati wetu
Ili tufundishe wengi.
(REFREE)
‘Basi uonje, na uone
Vile Mungu ni mwema.’
Kushikamana na Yehova
Kunaleta baraka.
2. Yehova anabariki
Na anawasaidia
Watumishi wa wakati wote
Sababu wanajitoa.
(REFREE)
‘Basi uonje, na uone
Vile Mungu ni mwema.’
Kushikamana na Yehova
Kunaleta baraka.
(Ona pia Mk. 14:8; Lu. 21:2; 1 Ti. 1:12; 6:6.)