Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 45
  • Mawazo ya Moyo Wangu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mawazo ya Moyo Wangu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kutafakari
    Amuka!—2014
  • Ili Kuwa Wahubiri Wenye Bidii Ni Lazima Kutafakari
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • “Muendelee Kufikiria Mambo Hayo”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 45

WIMBO 45

Mawazo ya Moyo Wangu

Maandishi

(Zaburi 19:14)

  1. 1. Yehova nisaidie

    Kusudi maneno yangu

    Na pia mawazo yangu,

    Ikufurahishe sana.

    Nikikosa usingizi,

    Na kuhangaika sana,

    Nikufikirie weye,

    Na maneno yako yote.

  2. 2. Napenda kufikiria

    Mambo yenye kuwa safi,

    Yenye kustahili sifa,

    ya kweli na ya muzuri.

    Mawazo yako ni mingi,

    Na tena ni ya muzuri.

    Mungu nitafikiria

    Neno yako kila siku.

(Ona pia Zb. 49:3; 63:6; 139:17, 23; Flp. 4:7, 8; 1 Ti. 4:15.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine