Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 1000-1002
  • Habari Zenye Kuwa Katika Mezali

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zenye Kuwa Katika Mezali
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Hekima ya Kweli Inaita Kwa Sauti Kubwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Habari Zenye Kuwa Katika Mezali

MEZALI

HABARI ZENYE KUWA NDANI

  • 1

    • Kusudi la mezali (1-7)

    • Hatari za mashirika ya mubaya (8-19)

    • Hekima ya kweli inaita kwa sauti kubwa mahali pa watu wengi (20-33)

  • 2

    • Hekima ni ya maana sana (1-22)

      • Tafuta hekima kama hazina zenye kufichwa (4)

      • Uwezo wa kufikiri ni ulinzi (11)

      • Uasherati unaleta musiba (16-19)

  • 3

    • Ukuwe na hekima na umutegemee Yehova (1-12)

      • Umuheshimie Yehova kupitia vitu vyenye samani (9)

    • Hekima inaleta furaha (13-18)

    • Hekima inaleta usalama (19-26)

    • Namna inafaa kutendea wengine (27-35)

      • Tendea wengine mema ikiwezekana (27)

  • 4

    • Mafundisho ya baba yenye hekima (1-27)

      • Zaidi ya yote, pata hekima (7)

      • Epuka njia za uovu (14, 15)

      • Njia ya wenye haki inangaa zaidi na zaidi (18)

      • “Linda moyo wako” (23)

  • 5

    • Onyo juu ya wanamuke waasherati (1-14)

    • Furahi pamoja na bibi yako (15-23)

  • 6

    • Ukuwe muangalifu kuhusu kutoa ahadi ya kulipia wengine mukopo (1-5)

    • “Uende kwa siafu, wewe muvivu” (6-11)

    • Mutu muovu mwenye hana mafaa yoyote (12-15)

    • Vitu saba vyenye Yehova anachukia (16-19)

    • Ujilinde na mwanamuke muovu (20-35)

  • 7

    • Shika amri za Mungu na uishi (1-5)

    • Kijana mwanaume mujinga anatongozwa (6-27)

      • “Kama ngombe-dume mwenye anaenda kuchinjwa” (22)

  • 8

    • Hekima yenye kuzungumuziwa kama mutu inaongea (1-36)

      • ‘Mimi ni mwanzo kabisa wa kazi za Mungu’ (22)

      • ‘Nilikuwa pembeni ya Mungu nikiwa fundi wa kazi’ (30)

      • ‘Nilipenda sana wana wa binadamu’ (31)

  • 9

    • Hekima ya kweli inatoa mualiko (1-12)

      • “Nitafanya siku zako zikuwe nyingi” (11)

    • Mwanamuke mujinga anaalika watu (13-18)

      • “Maji yenye yaliibwa ni matamu” (17)

  • MEZALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

    • 10

      • Mwana mwenye hekima anamufurahisha baba yake (1)

      • Mikono yenye bidii inaleta utajiri (4)

      • Kusema maneno mengi kunaleta makosa (19)

      • Baraka ya Yehova inamufanya mutu kuwa tajiri (22)

      • Kumuogopa Yehova kunarefusha maisha (27)

    • 11

      • Wenye kiasi wako na hekima (2)

      • Muasi-imani anapeleka wengine kwenye uharibifu (9)

      • “Mafanikio kupitia washauri wengi” (14)

      • Mutu mukarimu atafanikiwa (25)

      • Mwenye anategemea utajiri wake ataanguka (28)

    • 12

      • Mwenye anachukia karipio hana akili (1)

      • “Maneno yenye kusemwa bila kufikiri yanatoboa kama upanga” (18)

      • Kuendeleza amani kunaleta furaha (20)

      • Midomo yenye kusema uongo inamuchukiza Yehova (22)

      • Mahangaiko yanalemea moyo (25)

    • 13

      • Wenye kutafuta shauri wako na hekima (10)

      • Tumaini lenye kucheleweshwa linafanya moyo ugonjwe (12)

      • Mujumbe muaminifu analeta uponyeshaji (17)

      • Kutembea na wenye hekima kunafanya mutu akuwe na hekima (20)

      • Nizamu inaonyesha upendo (24)

    • 14

      • Moyo unajua uchungu wake mwenyewe (10)

      • Njia yenye inaonekana kuwa sawa inaweza kuleta kifo (12)

      • Mujinga anaamini kila neno (15)

      • Tajiri iko na marafiki wengi (20)

      • Moyo mutulivu unapatia mwili uzima (30)

    • 15

      • Jibu la upole linatuliza kasirani (1)

      • Macho ya Yehova yako kila mahali (3)

      • Sala ya mutu munyoofu inamufurahisha Mungu (8)

      • Mipango inashindikana wakati hakuna kupatiana mawazo (22)

      • Fikiri sana mbele ya kujibu (28)

    • 16

      • Yehova anachunguza nia (2)

      • Tia kazi zako katika mikono ya Yehova (3)

      • Mizani za unyoofu zinatoka kwa Yehova (11)

      • Kiburi kinatangulia kuanguka kwa kishindo (18)

      • Imvi ni taji la uzuri (31)

    • 17

      • Usilipe ubaya kwa wema (13)

      • Ondoka mbele ugomvi uanze (14)

      • Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote (17)

      • “Moyo wenye furaha ni dawa ya muzuri” (22)

      • Mutu mwenye utambuzi anazuia maneno yake (27)

    • 18

      • Kujitenga na wengine ni kutafuta faida yake mwenyewe na haiko jambo la hekima (1)

      • Jina la Yehova ni munara wenye nguvu (10)

      • Mali ni ulinzi wa kuwaziwa tu (11)

      • Hekima ya kusikiliza pande zote mbili (17)

      • Rafiki anashikamana na mutu kwa ukaribu kuliko ndugu (24)

    • 19

      • Ufahamu unatuliza kasirani (11)

      • Bibi mugomvi ni kama sehemu ya juu ya nyumba yenye kuvuya (13)

      • Bibi mwenye busara anatoka kwa Yehova (14)

      • Tia mutoto nizamu wakati kungali tumaini (18)

      • Hekima ya kusikiliza shauri (20)

    • 20

      • Divai ni yenye zihaka (1)

      • Muvivu halime wakati wa kipindi cha baridi (4)

      • Mawazo ya mutu ni kama maji yenye kina (5)

      • Onyo juu ya kuweka naziri haraka-haraka (25)

      • Utukufu wa vijana ni nguvu zao (29)

    • 21

      • Yehova anaongoza moyo wa mufalme (1)

      • Haki inashindia zabihu (3)

      • Bidii inaleta mafanikio (5)

      • Mwenye hasikilize mutu wa hali ya chini hatasikiwa (13)

      • Hakuna hekima katika kumupinga Yehova (30)

    • 22

      • Jina la muzuri linashindia kuwa na mali nyingi (1)

      • Mazoezi yenye mutoto anapata wakati angali mudogo yatadumu maisha yake yote (6)

      • Muvivu anaogopa kwamba simba iko inje (13)

      • Nizamu inaondoa upumbavu (15)

      • Mufanyakazi mwenye ufundi anatumikia wafalme (29)

    • 23

      • Ukuwe na busara wakati unaonyeshwa ukarimu (2)

      • Usifuatilie utajiri (4)

      • Utajiri unaweza kuruka mbali na wewe (5)

      • Usikuwe kati ya wenye kunywa pombe sana (20)

      • Pombe inauma kama nyoka (32)

    • 24

      • Usisikilie waovu wivu (1)

      • Nyumba inajengwa kwa hekima (3)

      • Mwenye haki anaweza kuanguka lakini atasimama (16)

      • Usilipize kisasi (29)

      • Kusinzia kunaleta umaskini (33, 34)

  • MEZALI ZA SULEMANI ZENYE ZILIANDIKWA NA WATU WA MUFALME HEZEKIA (25:1–29:27)

    • 25

      • Kuweka siri (9)

      • Maneno yenye kuchaguliwa muzuri (11)

      • Kuheshimia wakati wa wengine wa kuwa peke yao (17)

      • Kukusanya makaa juu ya kichwa cha adui (21, 22)

      • Habari ya muzuri ni kama maji ya baridi (25)

    • 26

      • Maelezo kuhusu watu wavivu (13-16)

      • Usijiingize katika ugomvi wenye haukuangalie (17)

      • Epuka mizaha (18, 19)

      • Kwenye hakuna kuni, moto unazimika (20, 21)

      • Maneno ya muchongezi ni kama matonge matamu (22)

    • 27

      • Karipio kutoka kwa rafiki ni lenye faida (5, 6)

      • Mwana wangu, furahisha moyo wangu (11)

      • Chuma kinanoa chuma (17)

      • Jua kundi lako (23)

      • Mali haidumu milele (24)

    • 28

      • Sala ya mutu mwenye hasikilize sheria inachukiza (9)

      • Mwenye anaungama anaonyeshwa rehema (13)

      • Mwenye kuharakisha kupata utajiri hatakosa kuwa na hatia (20)

      • Karipio linashindia kusifu-sifu (23)

      • Mutu mukarimu hakose kitu (27)

    • 29

      • Mutoto mwenye kuachiliwa analeta haya (15)

      • Wakati hakuna maono, watu wanafanya kile wanapenda (18)

      • Mutu mwenye kasirani anachochea ugomvi (22)

      • Mutu munyenyekevu anapata utukufu (23)

      • Kuogopa wanadamu ni mutego (25)

  • 30

    • MANENO YA AGURI (1-33)

      • Usinipatie umaskini wala utajiri (8)

      • Vitu vyenye havishibake (15, 16)

      • Vitu vyenye haviachake alama (18, 19)

      • Mwanamuke muzinifu (20)

      • Wanyama wenye hekima ya kisilika (24)

  • 31

    • MANENO YA MUFALME LEMUELI (1-31)

      • Ni nani anaweza kupata bibi mwenye uwezo? (10)

      • Anatumika sana na kwa bidii (17)

      • Fazili ziko kwenye ulimi wake (26)

      • Watoto wake na bwana yake wanamusifu (28)

      • Uvutio na uzuri vinapita haraka (30)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine