- Habari za Kufanana na Zile
MUHUBIRI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
2
Kuchunguza mambo yenye Sulemani alifuatilia (1-11)
Hekima ya wanadamu haina faida kubwa (12-16)
Kazi ngumu ni bure (17-23)
Kula, kunywa, na ufurahie kazi (24-26)
3
Kila jambo liko na wakati wake wenye umewekwa (1-8)
Kufurahia maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu (9-15)
Mungu anahukumu watu wote kwa haki (16, 17)
Wanadamu na wanyama wote wanafikia kufa (18-22)
4
Ukandamizaji ni mubaya kuliko kifo (1-3)
Maoni yenye kufaa juu ya kazi (4-6)
Faida ya kuwa na rafiki (7-12)
Maisha ya mutawala yanaweza kuwa ya bure (13-16)
5
Karibia Mungu ukiwa na woga wenye unafaa (1-7)
Watu wenye kuwa chini wanaangaliwa na watu wenye kuwa juu zaidi (8, 9)
Utajiri ni bure (10-20)
6
7
Jina la muzuri na siku ya kufa (1-4)
Kemeo la mutu mwenye hekima (5-7)
Mwisho ni muzuri zaidi kuliko mwanzo (8-10)
Faida ya hekima (11, 12)
Siku za muzuri na siku za mubaya (13-15)
Epuka kuvuka mipaka (16-22)
Mambo yenye mukutanishaji alijionea (23-29)
8
9
Wote wanapatwa na jambo lilelile (1-3)
Furahia maisha hata kama utakufa (4-12)
Wafu hawajue kitu chochote (5)
Hakuna kazi yoyote katika Kaburi (10)
Wakati na mambo yenye hayatazamiwe (11)
Hekima haifurahiwe kila mara (13-18)
10
Upumbavu kidogo unaharibu hekima (1)
Hatari za kukosa kuwa na uwezo wa kufanya mambo kwa njia ya muzuri (2-11)
Hali yenye kuhuzunisha ya wapumbavu (12-15)
Upumbavu kati ya watawala (16-20)
11
12