- Habari za Kufanana na Zile
MATAYO
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
2
3
4
Ibilisi anamujaribu Yesu (1-11)
Yesu anaanza kuhubiri Galilaya (12-17)
Wanafunzi wa kwanza wanaitwa (18-22)
Yesu anahubiri, anafundisha, na anaponyesha (23-25)
5
6
7
8
Mutu mwenye ukoma anaponyeshwa (1-4)
Imani ya ofisa mumoja wa jeshi (5-13)
Yesu anaponyesha watu wengi Kapernaumu (14-17)
Namna ya kumufuata Yesu (18-22)
Yesu anatuliza zoruba (23-27)
Yesu anatuma pepo wachafu katika nguruwe (28-34)
9
Yesu anamuponyesha mutu mwenye kupooza (1-8)
Yesu anamuita Matayo (9-13)
Ulizo juu ya kufunga (14-17)
Binti ya Yairo; mwanamuke anagusa nguo ya inje ya Yesu (18-26)
Yesu anaponyesha vipofu na bubu (27-34)
Mavuno ni mengi lakini wafanyakazi wako kidogo (35-38)
10
Mitume kumi na mbili (1-4)
Maagizo kwa ajili ya utumishi (5-15)
Wanafunzi watateswa (16-25)
Ogopa Mungu, hapana wanadamu (26-31)
Sikuleta amani, lakini upanga (32-39)
Kupokea wanafunzi wa Yesu (40-42)
11
Yohana Mubatizaji anasifiwa (1-15)
Kizazi chenye kinakataa kuamini kinalaumiwa (16-24)
Yesu anamusifu Baba yake kwa kupendelea wanyenyekevu (25-27)
Nira ya Yesu inaburudisha (28-30)
12
Yesu, “Bwana wa Sabato” (1-8)
Mutu mwenye kuwa na mukono wenye kupooza anaponyeshwa (9-14)
Mutumishi mupendwa wa Mungu (15-21)
Pepo wachafu wanafukuzwa kwa kutumia roho takatifu (22-30)
Zambi yenye haiwezi kusamehewa (31, 32)
Muti unajulikana kwa matunda yake (33-37)
Alama ya Yona (38-42)
Wakati roho muchafu anarudia (43-45)
Mama na ndugu za Yesu (46-50)
13
14
Yohana Mubatizaji anakatwa kichwa (1-12)
Yesu anakulisha wanaume elfu tano (13-21)
Yesu anatembea juu ya maji (22-33)
Anaponyesha watu Genesareti (34-36)
15
Desturi za wanadamu zinafunuliwa (1-9)
Mutu anachafuliwa na kile kinatoka katika moyo (10-20)
Imani kubwa ya mwanamuke Mufoinike (21-28)
Yesu anaponyesha magonjwa mengi (29-31)
Yesu anakulisha wanaume elfu ine (32-39)
16
Wanaomba alama (1-4)
Chachu ya Wafarisayo na Wasadukayo (5-12)
Funguo za Ufalme (13-20)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa (21-23)
Namna ya kuwa mwanafunzi wa kweli (24-28)
17
Yesu anageuzwa sura (1-13)
Imani kama mbegu ya haradali (14-21)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (22, 23)
Kodi inalipwa kwa feza ya kichele yenye ilitoka katika kinywa cha samaki (24-27)
18
Mwenye kuwa mukubwa zaidi katika Ufalme (1-6)
Vikwazo (7-11)
Mufano wa kondoo mwenye alipotea (12-14)
Namna ya kupatana na ndugu yako (15-20)
Mufano wa mutumwa mwenye hasamehe (21-35)
19
Ndoa na kuvunja ndoa (1-9)
Zawadi ya kubakia bila kufunga ndoa (10-12)
Yesu anabariki watoto (13-15)
Ulizo la mwanaume kijana mwenye alikuwa tajiri (16-24)
Kujitoa kwa ajili ya Ufalme (25-30)
20
Wafanyakazi katika shamba la mizabibu wanapokea mushahara uleule (1-16)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (17-19)
Ombi la kupewa vyeo katika Ufalme (20-28)
Wanaume wawili vipofu wanaponyeshwa (29-34)
21
Yesu anaingia kwa ushindi (1-11)
Yesu anasafisha hekalu (12-17)
Muti wa tini unalaaniwa (18-22)
Mamlaka ya Yesu yanatiliwa mashaka (23-27)
Mufano wa wana wawili (28-32)
Mufano wa walimaji wauaji (33-46)
22
Mufano wa karamu ya ndoa (1-14)
Mungu na Kaisari (15-22)
Ulizo juu ya ufufuo (23-33)
Amri mbili kubwa zaidi (34-40)
Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (41-46)
23
Musiige waandishi na Wafarisayo (1-12)
Ole wao waandishi na Wafarisayo (13-36)
Yesu anaomboleza juu ya Yerusalemu (37-39)
24
25
26
Makuhani wanafanya mupango wa kumuua Yesu (1-5)
Mafuta yenye marashi yanamwangwa juu ya Yesu (6-13)
Pasaka ya mwisho na kusalitiwa kwa Yesu (14-25)
Kuanzishwa kwa Chakula cha Mangaribi cha Bwana (26-30)
Yesu anatabiri kuwa Petro atamukana (31-35)
Yesu anasali kule Getsemane (36-46)
Yesu anakamatwa (47-56)
Anasamba mbele ya Sanhedrini (57-68)
Petro anamukana Yesu (69-75)
27
Yesu anawekwa katika mikono ya Pilato (1, 2)
Yuda anajitundika (3-10)
Yesu mbele ya Pilato (11-26)
Anachekelewa mbele ya watu wengi (27-31)
Anapigiliwa misumari kwenye muti kule Golgota (32-44)
Kifo cha Yesu (45-56)
Maziko ya Yesu (57-61)
Kaburi linawekewa ulinzi mukubwa (62-66)
28