- Habari za Kufanana na Zile
MARKO
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Yohana Mubatizaji anahubiri (1-8)
Yesu anabatizwa (9-11)
Shetani anamujaribu Yesu (12, 13)
Yesu anaanza kuhubiri Galilaya (14, 15)
Wanafunzi wa kwanza wanaitwa (16-20)
Roho muchafu anafukuzwa (21-28)
Yesu anaponyesha wagonjwa wengi kule Kapernaumu (29-34)
Yesu anasali mahali kwenye hakuna watu (35-39)
Mutu mwenye ukoma anaponyeshwa (40-45)
2
Yesu anamuponyesha mutu mwenye kupooza (1-12)
Yesu anamuita Lawi (13-17)
Ulizo juu ya kufunga (18-22)
Yesu, ‘Bwana wa Sabato’ (23-28)
3
Mutu mwenye mukono wenye kukauka anaponyeshwa (1-6)
Watu wengi sana pembeni ya bahari (7-12)
Mitume kumi na mbili (13-19)
Kutukana roho takatifu (20-30)
Mama na ndugu za Yesu (31-35)
4
5
6
Yesu anakataliwa katika muji wa kwao (1-6)
Wale Kumi na Mbili wanapewa maagizo juu ya utumishi (7-13)
Kifo cha Yohana Mubatizaji (14-29)
Yesu analisha watu elfu tano (30-44)
Yesu anatembea juu ya maji (45-52)
Yesu anaponyesha watu katika Genesareti (53-56)
7
Desturi za wanadamu zinafunuliwa (1-13)
Uchafu unatoka katika moyo (14-23)
Imani ya mwanamuke wa Sirofoinike (24-30)
Mwanaume kiziwi anaponyeshwa (31-37)
8
Yesu analisha watu elfu ine (1-9)
Wanaomba alama (10-13)
Chachu ya Wafarisayo na ya Herode (14-21)
Mwanaume kipofu anaponyeshwa katika Betsaida (22-26)
Petro anamutambulisha Kristo (27-30)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa (31-33)
Mambo ya kufanya ili kuwa mwanafunzi wa kweli (34-38)
9
Yesu anageuzwa sura (1-13)
Kijana mwanaume mwenye kuwa na pepo muchafu anaponyeshwa (14-29)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (30-32)
Wanafunzi wanabishana juu ya ukubwa (33-37)
Kila mutu mwenye hatupinge iko upande wetu (38-41)
Vikwazo (42-48)
“Mukuwe na chumvi ndani yenu” (49, 50)
10
Ndoa na kuvunja ndoa (1-12)
Yesu anabariki watoto (13-16)
Ulizo la mwanaume tajiri (17-25)
Kujitoa kwa ajili ya Ufalme (26-31)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (32-34)
Ombi la Yakobo na Yohana (35-45)
Kipofu Bartimayo anaponyeshwa (46-52)
11
Yesu anaingia kwa ushindi (1-11)
Muti wa tini unalaaniwa (12-14)
Yesu anasafisha hekalu (15-18)
Kujifunza somo kutokana na muti wa tini wenye ulikauka (19-26)
Wanataka kujua mamlaka ya Yesu inatoka wapi (27-33)
12
Mufano wa walimaji wauaji (1-12)
Mungu na Kaisari (13-17)
Ulizo juu ya ufufuo (18-27)
Amri mbili kubwa zaidi (28-34)
Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (35-37a)
Onyo juu ya waandishi (37b-40)
Feza mbili za kichele za mujane maskini (41-44)
13
14
Makuhani wanafanya mupango wa kumuua Yesu (1, 2)
Mafuta yenye marashi yanamwangwa juu ya Yesu (3-9)
Yuda anamusaliti Yesu (10, 11)
Pasaka ya mwisho (12-21)
Chakula cha Mangaribi cha Bwana kinaanzishwa (22-26)
Yesu anasema kwamba Petro atamukana (27-31)
Yesu anasali akiwa Getsemane (32-42)
Yesu anakamatwa (43-52)
Anasamba mbele ya Sanhedrini (53-65)
Petro anamukana Yesu (66-72)
15
Yesu mbele ya Pilato (1-15)
Anachekelewa mbele ya watu (16-20)
Anatundikwa kwenye muti kule Golgota (21-32)
Kifo cha Yesu (33-41)
Yesu anazikwa (42-47)
16