Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 1547-1548
  • Habari Zenye Kuwa Katika Marko

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zenye Kuwa Katika Marko
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Habari Zenye Kuwa Katika Matayo
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Habari Zenye Kuwa Katika Luka
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Habari Zenye Kuwa Katika Yohana
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • A7-D Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi Mukubwa wa Yesu Katika Galilaya (Sehemu ya 2)
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ona Habari Zaidi
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Habari Zenye Kuwa Katika Marko

MARKO

HABARI ZENYE KUWA NDANI

  • 1

    • Yohana Mubatizaji anahubiri (1-8)

    • Yesu anabatizwa (9-11)

    • Shetani anamujaribu Yesu (12, 13)

    • Yesu anaanza kuhubiri Galilaya (14, 15)

    • Wanafunzi wa kwanza wanaitwa (16-20)

    • Roho muchafu anafukuzwa (21-28)

    • Yesu anaponyesha wagonjwa wengi kule Kapernaumu (29-34)

    • Yesu anasali mahali kwenye hakuna watu (35-39)

    • Mutu mwenye ukoma anaponyeshwa (40-45)

  • 2

    • Yesu anamuponyesha mutu mwenye kupooza (1-12)

    • Yesu anamuita Lawi (13-17)

    • Ulizo juu ya kufunga (18-22)

    • Yesu, ‘Bwana wa Sabato’ (23-28)

  • 3

    • Mutu mwenye mukono wenye kukauka anaponyeshwa (1-6)

    • Watu wengi sana pembeni ya bahari (7-12)

    • Mitume kumi na mbili (13-19)

    • Kutukana roho takatifu  (20-30)

    • Mama na ndugu za Yesu (31-35)

  • 4

    • MIFANO JUU YA UFALME (1-34)

      • Mupandaji (1-9)

      • Sababu gani Yesu alitumia mifano (10-12)

      • Mufano wa mupandaji unafasiriwa (13-20)

      • Taa haiwekwe chini ya kitunga (21-23)

      • Kipimo chenye unapimia (24, 25)

      • Mupandaji mwenye kulala (26-29)

      • Mbegu ya haradali (30-32)

      • Kutumia mifano (33, 34)

    • Yesu anatuliza zoruba (35-41)

  • 5

    • Yesu anatuma pepo wachafu ndani ya nguruwe (1-20)

    • Binti ya Yairo; mwanamuke anagusa nguo za inje za Yesu (21-43)

  • 6

    • Yesu anakataliwa katika muji wa kwao (1-6)

    • Wale Kumi na Mbili wanapewa maagizo juu ya utumishi (7-13)

    • Kifo cha Yohana Mubatizaji (14-29)

    • Yesu analisha watu elfu tano (30-44)

    • Yesu anatembea juu ya maji (45-52)

    • Yesu anaponyesha watu katika Genesareti (53-56)

  • 7

    • Desturi za wanadamu zinafunuliwa (1-13)

    • Uchafu unatoka katika moyo (14-23)

    • Imani ya mwanamuke wa Sirofoinike (24-30)

    • Mwanaume kiziwi anaponyeshwa (31-37)

  • 8

    • Yesu analisha watu elfu ine (1-9)

    • Wanaomba alama (10-13)

    • Chachu ya Wafarisayo na ya Herode (14-21)

    • Mwanaume kipofu anaponyeshwa katika Betsaida (22-26)

    • Petro anamutambulisha Kristo (27-30)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa (31-33)

    • Mambo ya kufanya ili kuwa mwanafunzi wa kweli (34-38)

  • 9

    • Yesu anageuzwa sura (1-13)

    • Kijana mwanaume mwenye kuwa na pepo muchafu anaponyeshwa (14-29)

      • Mambo yote yanawezekana kwa mutu mwenye imani (23)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (30-32)

    • Wanafunzi wanabishana juu ya ukubwa (33-37)

    • Kila mutu mwenye hatupinge iko upande wetu (38-41)

    • Vikwazo (42-48)

    • “Mukuwe na chumvi ndani yenu” (49, 50)

  • 10

    • Ndoa na kuvunja ndoa (1-12)

    • Yesu anabariki watoto (13-16)

    • Ulizo la mwanaume tajiri (17-25)

    • Kujitoa kwa ajili ya Ufalme (26-31)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (32-34)

    • Ombi la Yakobo na Yohana (35-45)

      • Yesu ni bei ya ukombozi kwa ajili ya wengi (45)

    • Kipofu Bartimayo anaponyeshwa (46-52)

  • 11

    • Yesu anaingia kwa ushindi (1-11)

    • Muti wa tini unalaaniwa (12-14)

    • Yesu anasafisha hekalu (15-18)

    • Kujifunza somo kutokana na muti wa tini wenye ulikauka (19-26)

    • Wanataka kujua mamlaka ya Yesu inatoka wapi (27-33)

  • 12

    • Mufano wa walimaji wauaji (1-12)

    • Mungu na Kaisari (13-17)

    • Ulizo juu ya ufufuo (18-27)

    • Amri mbili kubwa zaidi (28-34)

    • Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (35-37a)

    • Onyo juu ya waandishi (37b-40)

    • Feza mbili za kichele za mujane maskini (41-44)

  • 13

    • UMALIZIO WA MUPANGILIO WA MAMBO (1-37)

      • Vita, matetemeko ya inchi, upungufu wa chakula (8)

      • Lazima habari njema ihubiriwe (10)

      • Taabu kubwa (19)

      • Kuja kwa Mwana wa binadamu (26)

      • Mufano wa muti wa tini (28-31)

      • Muendelee kukesha (32-37)

  • 14

    • Makuhani wanafanya mupango wa kumuua Yesu (1, 2)

    • Mafuta yenye marashi yanamwangwa juu ya Yesu (3-9)

    • Yuda anamusaliti Yesu (10, 11)

    • Pasaka ya mwisho (12-21)

    • Chakula cha Mangaribi cha Bwana kinaanzishwa (22-26)

    • Yesu anasema kwamba Petro atamukana (27-31)

    • Yesu anasali akiwa Getsemane (32-42)

    • Yesu anakamatwa (43-52)

    • Anasamba mbele ya Sanhedrini (53-65)

    • Petro anamukana Yesu (66-72)

  • 15

    • Yesu mbele ya Pilato (1-15)

    • Anachekelewa mbele ya watu (16-20)

    • Anatundikwa kwenye muti kule Golgota (21-32)

    • Kifo cha Yesu (33-41)

    • Yesu anazikwa (42-47)

  • 16

    • Yesu anafufuliwa (1-8)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine